Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
Wanaoijua CDM hawawezi kushangaa sana. Hiki si chama bali ni kampuni (au tuseme NGO) ya kifamilia.
Bahati mbaya sana ni kwamba hii NGO inatawaliwa na kabila moja lililokaa kibiashara zaidi.
Wakuu wa kampuni wakiamua jambo, waajiriwa shurti waseme: 'hewala bwana'.
Shibuda ni mmoja wa waajiriwa. Kama ilivyo kwa wenzake wote, yeye si mbunge kwa maana halisi ya MBUNGE.
Hana haki ya kutoa mawazo yake kama MBUNGE.
Yanayomkuta yamesababishwa na yeye kudai haki hiyo - alijisahau akajiona kuwa yeye ni MBUNGE kama alivyokuwa CCM.
Kumbe hana haki hiyo katika kampuni hii.
Bahati mbaya sana ni kwamba hii NGO inatawaliwa na kabila moja lililokaa kibiashara zaidi.
Wakuu wa kampuni wakiamua jambo, waajiriwa shurti waseme: 'hewala bwana'.
Shibuda ni mmoja wa waajiriwa. Kama ilivyo kwa wenzake wote, yeye si mbunge kwa maana halisi ya MBUNGE.
Hana haki ya kutoa mawazo yake kama MBUNGE.
Yanayomkuta yamesababishwa na yeye kudai haki hiyo - alijisahau akajiona kuwa yeye ni MBUNGE kama alivyokuwa CCM.
Kumbe hana haki hiyo katika kampuni hii.