Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Kamati kuu ya cdm imewataka madiwani wake waliochaguliwa kushika nyadhifa kwenye kamati mbalimbali za halmashauri ya jiji akiwemo nafasi ya unaibu meya kujiuzulu mara moja. Kamati ilibaini muafaka uliokuwa umefikiwa na madiwani hao haukufuata taratibu, katiba na haukuwa na baraka za chama.