Then die!am dying
Haitusaidii taarifa kama hii, ungesubiri yatoke ndo utuhabarishe
Haitusaidii taarifa kama hii, ungesubiri yatoke ndo utuhabarishe
Kwa mujibu wa baraza la mithiani kama mambo yataenda kama yalivyopangwa...kesho matokeo ya kidato cha nne yatatoka na kwa taarifa za awali wasichana wameng'ara zaidi ya wavulana wakati huo huo shule za private zimezidi kuwa juu kuliko zile za serikali tena za kata...!
Kama unayo huna haja ya kutilia shaka,ila kama ni kidato endelea kusubiri kijana!hizi degree za kujisifu nazo
am dying
tanzania one demu kutoka marian