Switch Case James
Member
- Jan 17, 2013
- 13
- 1
kudadenya
am dying
Huna lolote jipya humu,umekosa kazi ya kufanya unaweka post za upuuz humu!.........akili yako wewe mda mwingi inafikiria kwenda haja kubwa tu,usipobanwa ndo unaanza kuandika tetesi za ki-ass
Haitusaidii taarifa kama hii, ungesubiri yatoke ndo utuhabarishe
sio haikusaidii tu bt huenda pia haikuhusu that y haikushughulishi na haitakua hivyo bt ni muhimu kwa yule inayomuhusu
Remote&liverpoolfc
sijawahi kuleta uzushi hapa jukwaani...
pia sio lazima kuchangia.
anyway hakuna anayekatazwa kuwaza anachofikiria
Huna lolote jipya humu,umekosa kazi ya kufanya unaweka post za upuuz humu!.........akili yako wewe mda mwingi inafikiria kwenda haja kubwa tu,usipobanwa ndo unaanza kuandika tetesi za ki-ass
Matokeo yatatangazwa leo saa kumi jioniNikweli kwamba matokeo ya kidato cha nne yako karibuni kutoka tuwe na subira.
wakae kwanza nyumbani mwaka moja and then tutawapeleka VETA hapo ndipo watajua umuhimu wa kusoma kwa bidii wawapo shuleni miaa