Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 4,722
- 14,248
Muda wowote kuanzia hivi sasa matokeo ya kidato cha nne kwa watahiniwa wa 2012 yanaweza kutangazwa rasmi. Kama kawaida wadau wengi wa maendeleo hususan sekta ya elimu wanatarajia mengi, hata vimbwanga na takwimu za hapa na pale mradi siku zinapita, ilhali kuna tatizo la msingi kwenye elimu yetu ya sekondari, mara nyingi baada ya matokeo tumepata zaid kujua wanaoendelea na masomo ya form v na vi na vyuo vya ufundi.
Swali langu linakuja je hawa malaki watakaopata sufuri??? narudia tena sufur? au four ya sawa na sufur?? tunawasaidiaje kama taifa? maamuz ya leo matokeo ya kesho.
Mfano: Waliofaulu kwenda kidato cha kwanza mwaka huu 2013, zaid ya 50% wamepata daraja D. sasa kwel tunaweza kuendeleza elimu yetu kwa kufurahisha wanasiasa pekee? na takwimu za danganya toto? ubaguzi wa elimu waz waz? tufanye ki2, tuache kulalamika.. wewe unaona tukifanyie nini kizaz hiki? au tukiache tu kipotelee huko??
Tushirikishane..UDONGO UWAHI UNGALI MAJI !
Swali langu linakuja je hawa malaki watakaopata sufuri??? narudia tena sufur? au four ya sawa na sufur?? tunawasaidiaje kama taifa? maamuz ya leo matokeo ya kesho.
Mfano: Waliofaulu kwenda kidato cha kwanza mwaka huu 2013, zaid ya 50% wamepata daraja D. sasa kwel tunaweza kuendeleza elimu yetu kwa kufurahisha wanasiasa pekee? na takwimu za danganya toto? ubaguzi wa elimu waz waz? tufanye ki2, tuache kulalamika.. wewe unaona tukifanyie nini kizaz hiki? au tukiache tu kipotelee huko??
Tushirikishane..UDONGO UWAHI UNGALI MAJI !