Tumsaidie huyu binti kwa ushauri kulingana na matokeo yake kidato cha nne

Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.

Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F

Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
Hiyo sio four ya 30 ni ya 29 kozi za Veta zina muhusi na za baadhi ya za afya.
 
Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.

Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F

Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
Nashauri akasome certificate ya record Managementau socialogy kwa kulingana na matokeo yake au anaweza kwenda kusimea certificate ya masomo ya biashara kwakuwa ana anza na certificate basi akimaliza baada ya mwaka anaunga Diploma yake maisha yanarndelea!
 
Nashauri akasome certificate ya record Managementau socialogy kwa kulingana na matokeo yake au anaweza kwenda kusimea certificate ya masomo ya biashara kwakuwa ana anza na certificate basi akimaliza baada ya mwaka anaunga Diploma yake maisha yanarndelea!
Naunga mkono hoja
 
Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.

Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F

Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
Certificate phamacy
 
Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.

Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F

Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
Nilijua tuu lazima ni kilaza
 
Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.

Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F

Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
Sekta ya Afya inamfaa zaidi kuliko eneo jingine lolote,

hatojuta wala hutapata hasara wewe unaemsomesha....

huyo mbona ni nurse kabisa na baadae daktari aise.....
Asichelewe sasa kuanza masomo...

Namuombea Baraka na Neema za Mwenyezi Mungu katika Masomo yake...
 
Sekta ya Afya inamfaa zaidi kuliko eneo jingine lolote,

hatojuta wala hutapata hasara wewe unaemsomesha....

huyo mbona ni nurse kabisa na baadae daktari aise.....
Asichelewe sasa kuanza masomo...

Namuombea Baraka na Neema za Mwenyezi Mungu katika Masomo yake...
Mungu akubarik sana
 
Back
Top Bottom