sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Kuna mjadala mwingine unaendelea pale manzese kila siku jioni wa kiislamu,ukipita pale mada kubwa wanayo zungumzia ni ukristo,yaaani baada ya kufanya kazi,wao wanakaaa wanawazungumzia wakristo sijui bible ikifungu fulani kinasema hivi mara vile,sasa mm nashangaaa hayo maendeleo yatatoka wapi wakati muda mwingi wamekaaa kutoa majungu tu na kuwatukana wakristo,hivi kweli tutafika?