Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
Ktk dunia ya leo huwezi kufanikiwa kwa kutumia nguvu tu. Elimu ina nafasi kubwa sana ktk kutatua matatizo mbalimbali, hata vita vinahitaji elimu. Mfano taifa la palestina haliwezi kupatikana kwa nguvu, kama nguvu ingekuwa na nafasi basi wangekuwa wameshafanikiwa. Hivi sie tunaopigania dini, tunazifaham na kuifuata misingi ya dini hizo? Dini hizo zilikujaje Afrika? Kama dini yangu itanitaka nimwue mtu mwingine,basi mm nipo radhi kuwa mpagani. Mnapogawa nchi, msitusahau wapagani!
 
Nendeni shule kwanza ndipo mrudi hapa, vilaza wakubwa tanzania hii ni nyie waislam...na hamtaendelea kuwapita wakristu....sahauni.
tutaendelea kuwatibu kwenye hospitali zetu, kuwasomesha watoto wenu maskini, tutawalipia gharama za matibabu india watoto wenu wanaohitaji operation kubwa, hata mkitaka vingine tutawapa maana hamna elimu wala hela na hata tabia ya utoaji hamna...tutawakimbiza mchakamchaka mpaka mwisho....

You are so naive with your cheap shots.
No Muslim is looking for your hand-out bozo.
 
Wakristu (sio wote) siku zote huwa wana wivu na waislam. Kuna vyombo vingi vya habari hadi tv vinamilikiwa na wakristu lakini Redio moja tu ya waislam wanaionea ghera. Sikusikiliza Redio Imani lakini kama uliyosema uliyasikia kweli wala sio uchochezi bali ndio ukweli. Ukweli huu upo hata kwenye kumbukumbu za taifa pale waislam walipompa rasmi malalamiko yao Mkapa pale Diamond Jubilee.

Mimi ninaona waislam wako katika mustaqabali mzuri endapo hawataendelea kuhujumiiwa na wakristu katika kujiletea maendeleo.Katika miskikti mingi kwa sasa unakuta Madrasa na Nursery zinaenda sambamaba. Pamoja na mpango wa serikali wa shule za kata amabazo zinatoa fursa kwa vijana wote kusoma nadhani tunaenda vizuri.
Hata hivyo kuna baadhi ya wakristu wanaodhani kuwa waislam ni malofa wanaokalia kucheza bao.Huko ni kujidanganya,ukilinagnisha idadi ya wajasirimali baina ya waislam na wakristu ninaamini waislamu ni wengi kwa sababu wanao uwezo mkubwa wa kujituma.Wakristu wasomi wa tz wanasubiri waajiriwe wakati nafasi za ajira ni ndogo sana.Nenda barabara ya Pugu na Manadela hesabu viwanda na wamiliki wake ndo utagundua kwamba kumbe waislam ni wazuri ktk kutengeneza ajira. La msingi yeyote mwnye mamlaka ayatumie vizuri asiwabague wtz kwa misingi yeyote halafu baada ya muda kama utasikiya haya makelele tena pengine wakati huo kibao kitageukia upande mwingine,kwani wasomi watakuwa wengi lakini hawana cha kufanya.
 
Hatugombani ng'ooooo kwani sisi wengine familia zetu zimechanganyika waislamu na wakristo tena wakatoliki na tunapendana kishenzi.
WEWE UMELONGA BABA/MAMA sorry i dont know ur sex. nimeipenda msg yako hatugombani ng'oooo ila hao wanaotumiwa na CCM watashangaa na roho zao. eti TZ kuna udini wanataka kupandikiza ili iweje, TUTAKUTANA 2015
 
WEWE UMELONGA BABA/MAMA sorry i dont know ur sex. nimeipenda msg yako hatugombani ng'oooo ila hao wanaotumiwa na CCM watashangaa na roho zao. eti TZ kuna udini wanataka kupandikiza ili iweje, TUTAKUTANA 2015

Unaongea kwa niaba ya chama gani mzee?

kama ni cdm kwa gia yenu ya udini kampeni makanisani na kwenye vigango basi subirini hiyo 2015
 
Unaongea kwa niaba ya chama gani mzee?

kama ni cdm kwa gia yenu ya udini kampeni makanisani na kwenye vigango basi subirini hiyo 2015
tatizo lako wewe ni mmoja wa watanzania ambao ni wasahaulifu, suala la kusema chama fulani kinaungwa mkono na dini fulani hasa kinapowatetea watanzania halijaanza leo ililikuwa hivyo kwa NCCR, baadaye CUF, leo CUF imepigwa pingu Zenji, CDM ndio imeonekana ya kidini. Anyway cha muhimu fimbo zinazotembezwa na CCM kwa waTZ wote tena hazichagui ww ni chama gani au dini gani, wote tunatandikwa tu. NATAMANI WATZ WANGEFANYA KAMA TUNISIA INGEPENDEZA WW UNAONAJE?. kudai uhuru ktkt ya wajinga shida maanawanahongwa kofia, t-shirt, kanga , 2000/- kuuza uhuru kama unabisha sema hali mtaani kwako ikoje?:eyeroll1::love:
 
tatizo lako wewe ni mmoja wa watanzania ambao ni wasahaulifu, suala la kusema chama fulani kinaungwa mkono na dini fulani hasa kinapowatetea watanzania halijaanza leo ililikuwa hivyo kwa NCCR, baadaye CUF, leo CUF imepigwa pingu Zenji, CDM ndio imeonekana ya kidini. Anyway cha muhimu fimbo zinazotembezwa na CCM kwa waTZ wote tena hazichagui ww ni chama gani au dini gani, wote tunatandikwa tu. NATAMANI WATZ WANGEFANYA KAMA TUNISIA INGEPENDEZA WW UNAONAJE?. kudai uhuru ktkt ya wajinga shida maanawanahongwa kofia, t-shirt, kanga , 2000/- kuuza uhuru kama unabisha sema hali mtaani kwako ikoje?:eyeroll1::love:

Huo ndio mchezo wa siasa inabidi uujue. Ukweli ni kwamba CUF japo hakina sera za uislam lakini waislamu wengi walidhani ndio mkombozi wao na hivyo kikaonekana kuwa na sura ya udini.Tofauti na cdm ambacho hata ile ilani yake kilichukua ile ya kanisa,soi siri kuna baadhi ya makanisa yalikesha mkesha wa uchaguzi wakiomba Padri mwenzao ashinde.Hat ingekuwa cdm wana nia njema lakini gia waliyoingia nayo ni muflisi na haiwafikishi popote.It is very vulnerable to be hammared by ccm na huo ndio mchezo wa siasa. Ya Tunisia hapa hayawezekani because we are divided hatuna sauti moja ktk mamabo ya siasa
 
tatizo lako wewe ni mmoja wa watanzania ambao ni wasahaulifu, suala la kusema chama fulani kinaungwa mkono na dini fulani hasa kinapowatetea watanzania halijaanza leo ililikuwa hivyo kwa NCCR, baadaye CUF, leo CUF imepigwa pingu Zenji, CDM ndio imeonekana ya kidini. Anyway cha muhimu fimbo zinazotembezwa na CCM kwa waTZ wote tena hazichagui ww ni chama gani au dini gani, wote tunatandikwa tu. NATAMANI WATZ WANGEFANYA KAMA TUNISIA INGEPENDEZA WW UNAONAJE?. kudai uhuru ktkt ya wajinga shida maanawanahongwa kofia, t-shirt, kanga , 2000/- kuuza uhuru kama unabisha sema hali mtaani kwako ikoje?:eyeroll1::love:

Mwakaboko

You've the point.

I have said,and once again I'm saying hili swala la UDINI ni KUTAPAPATA KWA CCM. Hakuna kingine.
Nakuhakikishia kuwa leo hii kitokee Chama pinzani chenye Ushawishi mkubwa kama CHADEMA au kuliko hata CHADEMA na kiwe na uongozi wa juu ULIOSHIKILIWA NA WAISLAMU basi KIKWETE NA CCM YAKE atawageuka PAMOJA NA UISLAMU WAKE akishirikiana na CCM na UWT(Usalama wa Taifa)kuanza kukishambulia chama hicho kuwa ni cha KIDINI.

Tumeyaona hayo mwaka 2000 wakti CUF ikiitetemesha CCM.Wafuasi wa CUF zaidi ya 20 waliuawa huko Pemba kwa kupigwa risasi. Tukasikia propaganda kali za CCM kuwa CUF ni CHAMA CHA KIDINI KINAENDEKEZA UISLAMU. Tukasikia habari ya MAJAMBIA YA CUF mpaka waandishi wa habari wakaitwa na IGP MAHITA enzi hizo kuonyeshwa majambia ya CUF akisema kama CUF ni NGANGARI basi Jeshi la polisi ni NGUNGURI!!!!

Kwa watu wenye akili TIMAMU INAYOCHEMKA KWA KUFIKIRI this is just a POLITICAL GAME. Ni wanasiasa UCHWARA WA CCM wanataka kucheza na akili finyu za Wadanganyika wachache ambao IQ yao ni ndogo na WAVIVU WA KUFIKIRI kama WAISLAMU NA MASHEIKH wao. Hawa tayari wameshaanza kuingia kwenye MTEGO WA CCM WA UDINI. WAKRISTO NA MAASKOFU wameshakanusa hili jambo makanisani MARA KADHAA LAKINI SERIKALI YA CCM IMEAMUA KUTIA PAMBA MASIKIONI. Bado wanaendelea kuchochea moto wa UDINI!!!Ni mikakati ya CCM kwa ajili ya 2015 baada ya kukoswakoswa kung'olewa na CHADEMA mwaka 2010.

Mimi nasema sisi WAKRISTO na WAPENDA AMANI NA MSHIKAMANO WA TAIFA LETU HATUDANGANYIKI.
CCM WAJIANDAE TU KUPELEKWA KWA MORENO OCAMPO PALE NCHI ITAKAPOTUMBUKIA KWENYE MACHAFUKO NA HATIMAYE MAUAJI YA HALAIKI KWA SABABU ZA KIDINI.


Surely CCM you gonna pay for all these nonsense/rubbishes you call it UDINI.
 
Ni vizuri watz kuendelea kupambana lakini waelewe kuwa ili chama kiweze kuiondoa ccm madarakani inabidi kiwe na rasilimali za kutosha pia mbali na sapoti ya watz walio wengi pia kiwe na sapoti ya mataifa ya nje na wafadhili.Ili chama kiweze kupata sapoti ya wafadhili na mataifa ya kibwanyenye ni lazima kiwe na sera mlegezo kuliko za ccm. Kwa mfano ccm sera yao kuhusu mrahaba wa madini ni 3%,chama kingine kiseme kitatoa 2% au chini yake.Ccm sera yake ni Tax holday ya miaka 5,chama kingine kiseme ya kwake ni 10 nk.Vinginevyo vyama visahau kuing'oa ccm madarakani maana mabwanyenye wa nje wananufaika sana na sera mlegezo za ccm.Hata akina Ocampo wako kulinda maslahi ya mabwanyenye wa nje msifikiri hata siku moja so long as ccm inatekelza matakwa yao wataiadhibu kwa lolote
 
Wadau, jana katika kubadilisha station ya radio yangu nilikutana na mjadala uliokuwa ukiendeshwa redio imani, hii ni redio ya kiislamu iliyoko mjini Morogoro. Ingawa si kawaida yangu kuisikiliza lakini nilishawishika kuwasikiliza kutokana na uzito wa mambo yaliyokuwa yakijadiliwa.

Mjadala ulihusu tamko walilotoa kuhusu maaskofu, walivilaumu vyombo vya habari – magazeti particularly mwananchi na magazeti mengine kama nipashe, Tz Daima etc kwamba yamepotosha tamko lao pamoja na kuwa waliwapa tamko hilo kimaandishi. Nilijiuliza inakuwaje magazeti yote yanakosea kitu kilekile.
Kilichonisikitisha katika mjadala huo ni uchochezi na upotoshaji wanaoueneza hawa masheikh kwa sababu wanazojua wao. Kwa mfano walisema nchi inaendeshwa kwa mfumo wa kikiristu toka enzi za Nyerere, moja ya madai yao ni kwamba waislaumu walikuwa wakifelishwa makusudi shuleni ili wasisome, bila shaka haya ni madai makubwa sana.
Mambo mengine ni kwamba ili kudhibitisha kwamba nchi inaendeshwa kikristo ni kwa nini wakristo wana university na hospitali nyingi kuliko serikali, madai mengine ni kwamba kwa nini hospitali za kikristo zilizotaifishwa na serikali zilirudishwa , bila shaka katika hili ni kwamba serikali ilishindwa kuziendesha, lakini kwa sababu wanazojua wao waliishia kulaumu mfumo wa utawala wa kikristo. Katika hili wao walikiri kwamba hakurudishiwa kitu kwa kuwa hawakunyanganywa kitu!
Baada ya kumaliza majadiliano waliruhusu wasikilizaji kutuma sms na kupiga simu studio, wengi wa wachangiaji waliwashukuru masheikh kwa hatua yao lakini pia kuna waliosema watajichukulia sheria mkononi ili kuwaadhibu waandishi, na wengine walitaka itangazwe jihad dhidi yao.
Nilivyoona mimi hakuna shabaha nyingine zaidi ya kuleta chuki miongoni mwa dini jambo ambalo si kawaida yetu watz.

Ingawa najua kwamba redio hii haina wasikilizaji wengi lakini mijadala ya uchochezi namna ile haitakiwi kupita bila kukemewa. Katika mauaji ya Rwanda redio zilitumika sana kuchochea chuki baina ya watu, hatutakiwi kufika huko, nadhani ni wakati muafaka kwa “intelijensia” ya polisi kufanya kazi sasa ili kuzuia maafa yanayoweza kutokana na uchochezi wa redio imani

Wana JF naomba kuwakilisha
acheni kulialia na vyombo vya habari vya kiislam kama vinawakera msisome wala kusikiliza, mbona mnastation za na magazeti tele na kuna habari za kila aina, hata sie tukifungua husikia kama ulivyojisikia ww, cha kushangaza redio zenyewe hata nusu ya za kwenu hazifiki, na huku mnaziiita kuwa zina coverage ndogo, waandishi na watangazaji wasio na elimu kinacho waumiza kichwa mkaanza kujadili ni kipi haswa, nashangaa ya mjinga nayo yanajadiliwa, ama kweli zinawapelekesha! poleni ila tu ushauri wa bure kama inakukera achana nayo... tanzania ina uhuru wa kuongea na kuandika kwa mtizamo wa fikra za mtu....
 
Lazima tukubali kuwa wafuasi wadini hizi mbili ni tofauti,na lazima tuzikubali hizo tofauti na kuheshimiana kwa kupitia hizo tofauti.NAOMBA TUSIKEJELIANE kwani sisi ni watu wamoja,Tanzania ni yetu sote anae fikiri hii nchi niyake peke yake huyo anakosea
 
kigoma malima wakati akiwa waziri wa elimu ndie aliyeintoroduce mfumo wa number, acheni kuchangia mada kinafiki na kishabiki

..siyo kweli.

..mimi nilifanya mitihani kabla Malima hajawa waziri wa elimu na nilitumia nambari ya mtihani.
 
Wadau, jana katika kubadilisha station ya radio yangu nilikutana na mjadala uliokuwa ukiendeshwa redio imani, hii ni redio ya kiislamu iliyoko mjini Morogoro. Ingawa si kawaida yangu kuisikiliza lakini nilishawishika kuwasikiliza kutokana na uzito wa mambo yaliyokuwa yakijadiliwa.

Mjadala ulihusu tamko walilotoa kuhusu maaskofu, walivilaumu vyombo vya habari – magazeti particularly mwananchi na magazeti mengine kama nipashe, Tz Daima etc kwamba yamepotosha tamko lao pamoja na kuwa waliwapa tamko hilo kimaandishi. Nilijiuliza inakuwaje magazeti yote yanakosea kitu kilekile.
Kilichonisikitisha katika mjadala huo ni uchochezi na upotoshaji wanaoueneza hawa masheikh kwa sababu wanazojua wao. Kwa mfano walisema nchi inaendeshwa kwa mfumo wa kikiristu toka enzi za Nyerere, moja ya madai yao ni kwamba waislaumu walikuwa wakifelishwa makusudi shuleni ili wasisome, bila shaka haya ni madai makubwa sana.
Mambo mengine ni kwamba ili kudhibitisha kwamba nchi inaendeshwa kikristo ni kwa nini wakristo wana university na hospitali nyingi kuliko serikali, madai mengine ni kwamba kwa nini hospitali za kikristo zilizotaifishwa na serikali zilirudishwa , bila shaka katika hili ni kwamba serikali ilishindwa kuziendesha, lakini kwa sababu wanazojua wao waliishia kulaumu mfumo wa utawala wa kikristo. Katika hili wao walikiri kwamba hakurudishiwa kitu kwa kuwa hawakunyanganywa kitu!
Baada ya kumaliza majadiliano waliruhusu wasikilizaji kutuma sms na kupiga simu studio, wengi wa wachangiaji waliwashukuru masheikh kwa hatua yao lakini pia kuna waliosema watajichukulia sheria mkononi ili kuwaadhibu waandishi, na wengine walitaka itangazwe jihad dhidi yao.
Nilivyoona mimi hakuna shabaha nyingine zaidi ya kuleta chuki miongoni mwa dini jambo ambalo si kawaida yetu watz.

Ingawa najua kwamba redio hii haina wasikilizaji wengi lakini mijadala ya uchochezi namna ile haitakiwi kupita bila kukemewa. Katika mauaji ya Rwanda redio zilitumika sana kuchochea chuki baina ya watu, hatutakiwi kufika huko, nadhani ni wakati muafaka kwa “intelijensia” ya polisi kufanya kazi sasa ili kuzuia maafa yanayoweza kutokana na uchochezi wa redio imani

Wana JF naomba kuwakilisha

uwe unaleta na majadiliano ya maaskofu yanayojadili kukandamiza Uislam-umeanza kwa dharau kuwa kwa bahati mbaya imetokea ukasikiliza redio hii wakati ukitafuta stesheni na kwamba wewe huwa husikilizi-wote waliochangia kwa nia ya kuudhalilisha Uislam na mmelaaniwa, mlipashwa kuzungumzia redio na sio dini
 
Lazima tukubali kuwa wafuasi wadini hizi mbili ni tofauti,na lazima tuzikubali hizo tofauti na kuheshimiana kwa kupitia hizo tofauti.NAOMBA TUSIKEJELIANE kwani sisi ni watu wamoja,Tanzania ni yetu sote anae fikiri hii nchi niyake peke yake huyo anakosea
umenena mkuu! kila mtu aheshimu itikadi na maoni ya mwenzie, ukiona hayakuhusu sogea pembeni siku zitaenda na tutafika tunapokwenda japo kila mtu atapita njia yake
 
Nyani haoni kundule! Tena mimi naona maaskofu ndio wanatupeleka shimoni kabisa maanayake wamekua wanasiasa na wanataka ukiristo uongoze nchi! Mwaka huu wametoa matamko kibao! Ukiyachunguza ni udini tu!
wakifanya waislam tunaambiwa wanakera na pia wanachanganya dini na siasa wakifanya wao ni sahihi nani mawazo ya busara!
imefikia sasa hata vikao vya serikali vinafungwa na maombi ya wachungaji, tena maombi yanayopewa baraka na waziri mkuu, hakuna anayesema, nimesubiri kusikia gazeti, redio au TV
itakayoripoti jinsi kikao cha kusuluhisha mgogoro cha udom kilivyofungwa kwa maombi ya mchungaji as if ni kikao cha dini, sijaona! hii ndio Tanzania inayotakiwa, waislam wasiwe na pakuzungumza.
 
acheni kulialia na vyombo vya habari vya kiislam kama vinawakera msisome wala kusikiliza, mbona mnastation za na magazeti tele na kuna habari za kila aina, hata sie tukifungua husikia kama ulivyojisikia ww, cha kushangaza redio zenyewe hata nusu ya za kwenu hazifiki, na huku mnaziiita kuwa zina coverage ndogo, waandishi na watangazaji wasio na elimu kinacho waumiza kichwa mkaanza kujadili ni kipi haswa, nashangaa ya mjinga nayo yanajadiliwa, ama kweli zinawapelekesha! poleni ila tu ushauri wa bure kama inakukera achana nayo... tanzania ina uhuru wa kuongea na kuandika kwa mtizamo wa fikra za mtu....

Aise nashukuru sana umelion hili, kama hawataki vyombo vya habari vya waislamu wasisikilize period!

Besides, Radio Tumaini, na zile za kikristo nimezisikiliza zinakera kweli kweli na mada zao za kibaguzi...

ndio uhuru huo mkuki kwa nguruwe..lol
 
several times nimekuwa nikikemea kuwa mambo haya hayatujengi-nami nilikuwa cdm lakin baadae ndo nikabaini kuwa hapa jamvini kuna agenda ya ukiristo na cdm-nami siwezi hata siku moja kuisaliti imani yangu-NIMEBAKI NEUTRAL KWASABABU YA WA.JI.NGA.WA.JINGA na mkiendelea na tabia hii, mtawapoteza wengi na UDINI WENU


tatizo lako wewe ni mmoja wa watanzania ambao ni wasahaulifu, suala la kusema chama fulani kinaungwa mkono na dini fulani hasa kinapowatetea watanzania halijaanza leo ililikuwa hivyo kwa NCCR, baadaye CUF, leo CUF imepigwa pingu Zenji, CDM ndio imeonekana ya kidini. Anyway cha muhimu fimbo zinazotembezwa na CCM kwa waTZ wote tena hazichagui ww ni chama gani au dini gani, wote tunatandikwa tu. NATAMANI WATZ WANGEFANYA KAMA TUNISIA INGEPENDEZA WW UNAONAJE?. kudai uhuru ktkt ya wajinga shida maanawanahongwa kofia, t-shirt, kanga , 2000/- kuuza uhuru kama unabisha sema hali mtaani kwako ikoje?:eyeroll1::love:
 
wakifanya waislam tunaambiwa wanakera na pia wanachanganya dini na siasa wakifanya wao ni sahihi nani mawazo ya busara!
imefikia sasa hata vikao vya serikali vinafungwa na maombi ya wachungaji, tena maombi yanayopewa baraka na waziri mkuu, hakuna anayesema, nimesubiri kusikia gazeti, redio au TV
itakayoripoti jinsi kikao cha kusuluhisha mgogoro cha udom kilivyofungwa kwa maombi ya mchungaji as if ni kikao cha dini, sijaona! hii ndio Tanzania inayotakiwa, waislam wasiwe na pakuzungumza.


Hawatosheki hawa mimi nawshangaa mnategemea any good from them ..then hujui kitu..

Hawa jamaa kila siku wao ni wivu, ubaguzi, kwa waislamu hasa huyu pinda disgusting!
 
Hawatosheki hawa mimi nawshangaa mnategemea any good from them ..then hujui kitu..

Hawa jamaa kila siku wao ni wivu, ubaguzi, kwa waislamu hasa huyu pinda disgusting!
haswaaa! tena nilikuwa sijaelewa kwa nini wanamfagilia huyu jamaa but since then I got to learn, who is he!! bila uoga wala hata kuheshimu basi kama si wahadhiri hata viongozi wenzie alioandamana nao ambao ni waislam kwa mbwembwe kabisa alidiriki kumtaka mchungaji ashushe maombi ya kufunga kikao!! hii ndio nchi isiyo na dini....
 
MAMBO YA CHUO HAYO WAMEFUNDISHWA CHUO HAO SINCE MIAKA MITATU WAKO CHUO ACHaNA NAO WAPOTEZEE HAWANA MAANA WATU WA MADRASA

Wadau, jana katika kubadilisha station ya radio yangu nilikutana na mjadala uliokuwa ukiendeshwa redio imani, hii ni redio ya kiislamu iliyoko mjini Morogoro. Ingawa si kawaida yangu kuisikiliza lakini nilishawishika kuwasikiliza kutokana na uzito wa mambo yaliyokuwa yakijadiliwa.

Mjadala ulihusu tamko walilotoa kuhusu maaskofu, walivilaumu vyombo vya habari – magazeti particularly mwananchi na magazeti mengine kama nipashe, Tz Daima etc kwamba yamepotosha tamko lao pamoja na kuwa waliwapa tamko hilo kimaandishi. Nilijiuliza inakuwaje magazeti yote yanakosea kitu kilekile.
Kilichonisikitisha katika mjadala huo ni uchochezi na upotoshaji wanaoueneza hawa masheikh kwa sababu wanazojua wao. Kwa mfano walisema nchi inaendeshwa kwa mfumo wa kikiristu toka enzi za Nyerere, moja ya madai yao ni kwamba waislaumu walikuwa wakifelishwa makusudi shuleni ili wasisome, bila shaka haya ni madai makubwa sana.
Mambo mengine ni kwamba ili kudhibitisha kwamba nchi inaendeshwa kikristo ni kwa nini wakristo wana university na hospitali nyingi kuliko serikali, madai mengine ni kwamba kwa nini hospitali za kikristo zilizotaifishwa na serikali zilirudishwa , bila shaka katika hili ni kwamba serikali ilishindwa kuziendesha, lakini kwa sababu wanazojua wao waliishia kulaumu mfumo wa utawala wa kikristo. Katika hili wao walikiri kwamba hakurudishiwa kitu kwa kuwa hawakunyanganywa kitu!
Baada ya kumaliza majadiliano waliruhusu wasikilizaji kutuma sms na kupiga simu studio, wengi wa wachangiaji waliwashukuru masheikh kwa hatua yao lakini pia kuna waliosema watajichukulia sheria mkononi ili kuwaadhibu waandishi, na wengine walitaka itangazwe jihad dhidi yao.
Nilivyoona mimi hakuna shabaha nyingine zaidi ya kuleta chuki miongoni mwa dini jambo ambalo si kawaida yetu watz.

Ingawa najua kwamba redio hii haina wasikilizaji wengi lakini mijadala ya uchochezi namna ile haitakiwi kupita bila kukemewa. Katika mauaji ya Rwanda redio zilitumika sana kuchochea chuki baina ya watu, hatutakiwi kufika huko, nadhani ni wakati muafaka kwa “intelijensia” ya polisi kufanya kazi sasa ili kuzuia maafa yanayoweza kutokana na uchochezi wa redio imani

Wana JF naomba kuwakilisha

uhuru wa kutoa maoni... ni maoni yao binafsi. ndio raha ya kuishi katika nchi kama tzn. wakikukera sikiliza clouds
 
Status
Not open for further replies.
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom