Kisaa kyafo
Member
- Dec 22, 2010
- 80
- 1
uwe unaleta na majadiliano ya maaskofu yanayojadili kukandamiza Uislam-umeanza kwa dharau kuwa kwa bahati mbaya imetokea ukasikiliza redio hii wakati ukitafuta stesheni na kwamba wewe huwa husikilizi-wote waliochangia kwa nia ya kuudhalilisha Uislam na mmelaaniwa, mlipashwa kuzungumzia redio na sio dini
mchangiaji wa mada apo juu kachangia vizuri wee ndo unataka kupotosha jamii, kwani aliyewaambia nyie waislamu msiende shule ni nani,na kuna jambo jingine la mihadhara piteni pale manzese darajani msikilize iyo ki2 inaitwa mihadhara!kama mnaona amkusoma jipangeni muende shule sasa.acheni majungu na mfanye kazi.