Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Tukaze nini sasa?Habari wana JF
Mimi ni kijana mwenzenu
Kwa wale ndugu zangu vijana wenzangu tuliooa miaka ya karibuni kama mimi nawaomba tuwe wavumilivu tukaze tu hivyo hivyo ili hizi ndoa zidumu maana mitihani mingi sana na huko duniani nje yaani ni balaa kila vishawishi.
Nina mwaka mmoja kwenye hiki chama lakini naomba niwavulie kofia ndugu zangu mlio kaa humu ndani miaka 5 na kuendelea.
Tukaze washikaji tusije tukaishia njiani
- Wake zetu?
- Msuli kutokana na vishawishi?
- Majibu yote ni sahihi.