Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Usijali umepata kazi, hatuhitaji cha cv wala nini, ilmradi tu uwe unajua kupika chai...
heeee! Kwahiyo nitakuwa office attendant au?
Usijali umepata kazi, hatuhitaji cha cv wala nini, ilmradi tu uwe unajua kupika chai...
duh,shikamoo!!naona unakimbizana na mama yangu,uhhhh!!hiyo avatar yako yadanganya macho yangu,nakuona kigoriiii...lolwaambie bana....watu tuna ndoa zetu mwaka wa kumi na saba huu....ndo kwanza kama tukio ni la jana....
waambie bana....watu tuna ndoa zetu mwaka wa kumi na saba huu....ndo kwanza kama tukio ni la jana....
Hahaha, wewe na mimi tena.... Niliahidi kukulinda kwa hali na mali hapa jf au umesahau? Lolsawa mama ushauri...mi napenda vya bure lakini! ujiandae kutoa ushauri wa bure kama unaoutoa hapa jamvini!!!
Sasa kumbe ulidhani utakuwa mkurugenzi au? Ukituletea na klorokwini tutashukuru manake tunahitaji na gadena pia...heeee! Kwahiyo nitakuwa office attendant au?
hiyo iwe kwa ajili yangu tu,,TF hatakiwi kabisa eneo la tukio!!Hahaha, wewe na mimi tena.... Niliahidi kukulinda kwa hali na mali hapa jf au umesahau? Lol
Hahaha, wewe na mimi tena.... Niliahidi kukulinda kwa hali na mali hapa jf au umesahau? Lol
Alaaaaaaaaa...kumbee sasa Mama Tuli naye anahitaji kuniona kwa ajili ya kupata ushauri maana naona umeishaanza kumendea hadi wateja wangu
Neither finest,rocky nor predeta is maried.u ar ol cheaters.and no sooner iwl insult you 4joking wth mariage!
Prove it......Neither finest,rocky nor predeta is maried.u ar ol cheaters.and no sooner iwl insult you 4joking wth mariage!
Mimi nimemwambia approvemkuu nitake radhi hapo
nina ndoa na familia nzuri sana na naipenda sana familia yangu
Ndoa yangu pia naiheshimu sana mkuu
may be hao akina TF na Preta
ngoja nipite tu...sitaki kuonekana shahidiProve it......
Mimi nimemwambia approve
Yashakukuta tayari mara hii mwaka tuuu??/
Sijakumbana na matatizo sema hii miezi 12 nimepata challenges nyingi sana!
Stimes tunakuwa na cold wars inapita wiki under the same roof kila mtu anaenda job anarudi hatuzungumzi ila baadae tunakaa sawa
Nachoshukuru nikirudi nakuta msosi upo tayari huwa napiga nalala
Its very challenging kwa kweli !
Rejao nitafute ukiwa na mkwaruzano na wife:eyebrows:ngoja nipite tu...sitaki kuonekana shahidi