Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha


Marehemu Mbaraka Mwinshehe, na Mpiga Ngoma RIP Morris Nyunyusa, hawa walikuwa ndio wawakilishi wakubwa wa taifa letu, kwenye maonyesho mbali mbali ya sanaa ya kimataifa na walilitangaza sana jina la taifa letu huko, hasa mwaka 1970 walipokwenda kutuwakilisha kwenye maonyesho ya Expo Japan.

Nakumbuka wimbo aliotunga waliporudi toka Japan. Kila ninapokwenda Japan tunapoelekea kutua Narita airport huwa nauimba sana wimbo huu kimoyomoyo;

Sasa tunatoa shukurani
Kwa serikali yetu ya Tanzania
Kutupatia nafasi
Ya kwenda mpaka Japan...

Chorus

Maonyesho Japan yalifana sana
Mataifa yote yalifurahi sana
Banda la Tanzania limetia fora, oyeee

Maonyesho Japan yalifana sana
Likembe Mahoka na ngoma za Taifa
Wacheza midimu na wachezea nyoka
Mzee Morris na ngoma zake kumi, oyeee!

Maonyesho Japan yalifana sana
Bwana Mayagila na bendi ya polisi
Wana wa sanaa wa chuo kikuu Dar oyee!

Sayonara Osaka!
Sayonara Tokyo
 
Enzi ya UDA ulikuwa hukai kituoni na mzembe anajulikana mapema.kweli ilikuwa TANZANIA ya babau wa Butiama.
 
HADING'OKA alikuja piga kampeni yake shuleni kwetu mwananyamala B tukakatiza masomo baada ya "aff time" na kupigiwa debe na wazee wa mji kwani walimchoka "mzungu" BRISON.
 
Nimeshangaa sana nilipopitia thread hii tena na kukuta kuwa picha nyingi sana tulizoweka wakati ule hazipo tena. Vipi mkuu Invisible, mbona mmetuangusha sisis tuliochimba habari wakati ule na kuweka picha za uhakika kusaidia ukali wa post zetu wakati huo?
 
Last edited by a moderator:
29th June 2010
Two Air Force Wing pilots from TPDF died after their aircraft crashed on the Chalinze-Segera Highway.
attachment.php


attachment.php


attachment.php
Hii si ndio ajali iliyomuua anko wangu kapteni leguna dah he was too young to die
 
Hii ni excerpt kutoka moja ya insha za marehemu Rweyemamu zilizochapwa katika kitabu chake cha kumkumbuka.... Powerful words.

Third World Options: Power, Security and the Hope for Another Development
Published by Tanzania Publishing House, 1992
Justinian F. Rweyemamu

Africa’s Natural Resources and African Economic Development

Looking to the future

….. the time has come for Africa to act now; to undertake hard-nosed goal setting. The euphoria phase of independence when leaders could get away with rhetorical, simplistic, vague and inane objectives (of freedom, equality, participation), when they could afford to have contempt for hard facts and when they could keep calm confidence in their “revelation” to create a new humanity, that time is now irretrievable. This has brought African countries to disaster. Goal setting must recognize the universality of certain human attributes, the nature and implications of existing key socio-economic variables and the requirements of an economy producing for surplus. In any case objectives should no longer be set on a course aimed to placate externally generated ideologies, whims of fancies. Nor should objectives be made as if the rest of the world did not exist or matter.

The search for the elusive summum bonum might be an attraction which philosophers can ill afford to ignore; but its utility to men of action is limited, indeed. In my view, there is likely to be very little agreement at any one time, in any society as to what constitutes the summum bonum. There is however likely to be less disagreement on the proposition that human beings everywhere do not want life of suffering or misery – at least not for its own sake. I therefore submit that a commitment to minimizing the social causes of human misery may be a promising start to goal formulation. I may also add in passing that for better or for worse, human beings value what they must work for, not that they work for what they value. And so it is that the grievances of man or woman as a consumer appear to be more important than his or her concerns as a producer.

Secondly, African leaders must pay more than lip service to Adam Smith’s dictum that wealth of nations depends on “the skill, dexterity and judgment with which its labor is generally applied”. This does not mean merely the setting up of more schools, the responsibility that all African governments have not only accepted but carried out with vigor and energy. The school system tends to superimpose forms of knowledge on existing fold knowledge without necessarily deepening the latter. As a consequence little new useful knowledge is produced. There is need to establish mechanisms and institutions that will deepen and expand Africa’s stock of knowledge. Peasants, for instance, are inclined to augment their knowledge primarily from the most successful practitioners of their occupation. What must be underscored is that the basic task of education is the transfusion of values, but values cannot help us much to pick our way through life unless they become our own, a part to say of our mental makeup. An educational system has to give the people of a given culture the ability to make the world and their own lives intelligible. It is through the creation of intelligibility that meaningful education spurs the outburst of daring, initiative, invention and constructive activity. Finally, each country must critically appraise the arrangements that exist for allocating and distributing its available assets, property, power, privilege, prestige and participation – among individuals and groups, since these assets largely determine the latter’s well-being.

African governments must also realize that there can be no genuine development without basic freedom and personal security. They must appreciate the fact that leadership of a nation state cannot be confined to “political” leadership; it must be extended to include labor, youth, parents, women, church, business, and professionals. Leaders in these entities must be recognized and given proper mandate and power. These changes will help unleash people’s freedom to innovate and experiment. Consideration should also be given to the reduction of prevailing economic control in these countries. But to reduce controls is not the same thing as surrendering to market forces. Of course, these forces cannot and should not be wished away, they should be harness and utilized to fulfill the desired objectives. What must be appreciated however is that every restriction benefits some people and hurts others. Equally important is the realization that almost every control mechanism is circumvented in implementation, more often by those who have access to higher echelons of authority.

… The completion of that [decolonization] process requires attainment of economic liberation from the curse of poverty and misery. This will require a new leadership to propel the requisites of change. There will be no substitute for arduous effort, perseverance and for unity, founded at the highest political level, to uproot poverty and economic subordination. The African people have never hesitated to make sacrifices for a worthy cause. Sacrifice, perseverance and unity freed Africa from colonial rule. I believe that the same forces can free her from the misery and economic subordination which also deprive her of her dignity.

(Rweyemamu, 1992, pp 153)

What a great thinker. Perfect. Why I can't foresee Africa changing from a misery ridden continent to a prosperous one is until learned brothers and sisters turn around from their sheaths of cowardice and apathy, take the plunge and become leaders of Africa. Worst as it may be, African leadership is left in the hands of mediocre, puppet and blood-thirst individuals. These craps cannot think beyond past midnight, all they think is their huge bellies and their packs of children.

Thanks JF Rweyemamu
 
Kichuguu, Jasusi, FMES, Rev. Kishoka, Son of Alaska,

..hii thread nimeipitia na kila kumbukumbu tunayoletewa ni ya WANASIASA tu.

..kulikuwa na thread nyingine ambapo member walijaribu ku-list idols/mashujaa wao, basi huko nako kulijaa wanasiasa.

..hivi katika jamii yetu hakuna watu wengine wa kuwaenzi zaidi ya wanasiasa? hakuna madaktari, ma-injinia, bankers, wachumi, industrialists, wanasheria, mathematicians,physicists,biologists,...ambao tunaweza kuwaenzi kwa utumishi na michango yao?
Hata Shaban Robert tumemsahau, wakati yeye naweza kumfananisha na William Shakespear kwa Waingereza
 
Wanasiasa wanaoenziwa hakuna chochote cha maana walichokifanya zaidi ya kuongoza juhudi za kugombea uhuru. Hatuna wataalamu wa maana ktk hizo fani zote ulizozitaja. Tungekuwa nao tungekuwa tumeendelea. Ngoja nikuulize, hivi kuna mtaalam gani wa maana ktk uchumi ambaye angeendelea kukumbatia sera ya ujamaa na kujitegemea huku akiona kuwa haifanyi kazi? Hao ma injinia unaotaka tuwaenzi wameshindwa hata kutatua matatizo ya kilimo, umeme, maji masafi, n.k. Sasa tuwaenzi kwa kitu gani? Watu bado wanaugua magonjwa kama ya kichocho, utapiamlo, kisonono, na mengine mengi tu. Hao wataalamu wa afya na tiba wamefanya nini kuangamiza magonjwa kama hayo yanayoweza kuangamizwa? Jibu ni hakuna!! Sasa tuwaenzi wataalamu wa fani ulizotaja kwa minajili ipi?
Mie naamini tuna watu wazuri katika hizo fani wenye uwezo kutatua matatizo mbali mbali yanayotuandama, tatizo ni wanasiasa kwani ndio wanaoamua vipaumbele katika mipango yetu. Kwa mfano, kama serikari ingeamua kuelekeza nguvu kwenye swala la umeme kwa dhati, wataalamu wetu wanaouwezo wa kulitatua kabisa tatizo hili.
 
Mimepitia huu Uzi toka mwanzo hadi mwisho kwa muda wa wiki nzima kiukweli ,nimejifunza mengi kuhusu uchumi,siasa,utamaduni, muziki na kila kitu kihusucho nchi yetu hongera sana mkuu FMES, Kichuguu, Son Of Alaska, na malegendary wote wa Uzi huu ambao sijawataja, kingine very interesting na special n kuwa wale waropokaji na wadini wachafuao hali ya Uzi wameogopa kuingia huu Uzi , kwani unaheshima zake

Mkuu FMSE tunaomba sasa tupate hicho kitabu kinachotungwa ili iwe kumbukumbu na kuwapa watoto wetu wajifunze historia yetu

Heshima kwenu wote,,,,
 
i1358_mwalimu.jpg

_________________

Mwalimu (RIP)Baba Wa Taifa Hili, na Mkewe Mama Maria

Wakuu Wote Jamii Forums, Heshima mbele!

Katika hiki kipindi cha mapumziko nimeona sio vibaya tukijikumbusha historia yetu ya taifa katika picha, ninawaomba wakuu wote wenye picha interesting kisiasa kwa taifa letu, tuziweke hapa ili tujikumbushe na kuelemishana kidogo kuhusu taifa letu lilikotoka, unajua wananchi wasiojua walikotoka hawawezi kujua wanakokwenda.

Ahsante wakuu.

mpuuzi
 
serikali yetu ya ccm.

bajeti ya WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA ni Sh bilioni 81.87, kati ya fedha hizo Sh bilioni 41 sawa na asilimia 51 ya bajeti ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na Sh bilioni 40 sawa na asilimia 49 ya bajeti kwa ajili ya matumizi ya maendeleo.
tuwe pamoja, tujenge pamoja!
 
Kila kizazi na enzi zake, pamoja na kwamba sasa hivi tunasema tumepiga hatua lakini wazee wetu walikula bata hata kama tunawaona washamba kwa sasa lakini ukifanya tathimini utagundua component ya entertainment waliitendea haki na ndio maana haya maneno "STRESS" sijui "NIMEKWAZIKA" hayakuwepo, kila mtu alikuwa anapata burudani anayotaka kutokana na ela yake japokuwa burudani haikuwa anasa kivile kwa watu wachache yaani mtu wa soka atakwenda kwenye soka, band halikadharika ngoma, ngumi (za ridhaa na kulipwa), riadha mpaka kwaya ili mradi kila mtu ameburudika. Siku hizi tunajifanya tumepiga hatua but only few wana access / afford issue za entertaining na ukiwa mtu wa burudani sana unaonekana kama mpenda anasa na soon utapotea. (na ndio maana magonjwa ya moyo na msongo wa mawazo hautoki kwa kuwa kutwa ni kazi na migongano na migogoro na hakuna hata kujirusha kidogo)
 
Back
Top Bottom