TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,958
- 11,354
Duh, mkuu Kwetuni..... yaani hapo mpaka mbavu zimekaribia kunivunjika manake mambo ya magazeti na ukiweza daka "TOP LAYER" siku za nyama basi hata "DH" hakuna tena faida ya kwenda...........
Shule yangu Ilboru inasifika sana....................
Hivi kuna mtu anamkumbuka yule mzee Alfayo wa jikoni nilimuacha miaka ya mwanzo ya tisini?