We sajo nani kakwambia kuwa tulisoma bila "mademu"??? Mademu walikuwepo ila hawakuwa wanafunzi wa Ilboru. Tofauti ya Ilboru na Mkwawa ni kwamba Ilboru imezungukwa na shule kibao za mchanganyiko. Na iko proximal to city centre ambapo kuna shule kibao za day na boarding.
Kuna kipindi fulani walipelekwa pale mabinti wawili mmoja alikua ana asili ya kiarabu, watoto wa watu walikua wanatongozwa mpaka wakifika kwao wako hoi.