Tujikumbushe ILBORU

We sajo nani kakwambia kuwa tulisoma bila "mademu"??? Mademu walikuwepo ila hawakuwa wanafunzi wa Ilboru. Tofauti ya Ilboru na Mkwawa ni kwamba Ilboru imezungukwa na shule kibao za mchanganyiko. Na iko proximal to city centre ambapo kuna shule kibao za day na boarding.

Kuna kipindi fulani walipelekwa pale mabinti wawili mmoja alikua ana asili ya kiarabu, watoto wa watu walikua wanatongozwa mpaka wakifika kwao wako hoi.
 
kule kwa bwashee, kishuu, mama natry, mikate ya boflo (Loning'o) na visu (dinning hall)........ duh si mchezo..... na mambo ya Bino Road, MZC (Mzee Zidisha Chui)......... lecture theater, sick bay, tololwa.......... ha ha haaaa....... that was looooong loooooooong time ago!!! Mwalimu Juma (RIP), Mutabuzi (RIP).........
wazee wa gongo, ganja na mbege (kwa bwashee), nyagi na safari & pilsner export (Loning'o).......
lile one ten la blue lilikuwaga STG.......
 
....hawana lolote hawa mbele ya Umbwe.....tumewakimbiza kutoka weruweru, kibosho mpaka wameishia kwa wamenye wenzao Enaboishu duh!!!
Mti safi, where is Lobilo wajameni...alikua legend wa unoko (equivalent wa Macha kwa Ilboru)..Savimbi? Mzee Kirama? Ile flamboyante tree kati ya form four na dh? Kupiga dipu? Kule 'Cambridge'? Seiya aka jogoo? Swai aka domain? :D
Umbwe walevi wa mbege tu....hawana mpango wowote!:D, enzi zetu tuliwaputa Machame Girls, Zoo na Ashira Girls! LOL, wakabaki kulialia tu...
Mbege tuliita Nnya..karibia na Mto Umbwe kulikua na kalbu moja spesho wa wanafunzi (mwalimu akijifanya kwenda pale anapewa mbege yenye maji), lakini kitabu kama kawa.

Acha maneno bana...Mti safi tumewatesa sana nyie mpaka mkakimbia Weru Weru. Mkaanza kugombea watoto wa O'Level wa Machame Girls na competition yenu.. Lyamungo Sec.
Caught in between Mkuu...I did both (Umbwe/Ilboru)!
Sweet sweet memories
 
Wandugu,

Mmenikumbusha mbali sana. Mzulu na hotuba zake za two hours kwa form five and form ones kuwaeleza namna Ilboru ilivyo na kupata three is as good as kufeli. Mikate ya kwa Loning'o.... ukimuuliza mikate shs ngapi, anakuambia "..bia mbili" meaning mia mbili.

Machakura was the great, funny? guy i have ever met. I remember in one of the school baraza iliposemwa kwamba the only means of communication was in English, na ilipofika zamu yake kama kawaida yake kutoa matangazo he started with ...Aroo, after this exercise..." maneno yakamwishia na kicheko kilichofuata toka kwa wanafunzi kilitosha kuvunja baraza kabisa.

That school song:

Shule yangu Ilboru inasifika sana
Popote ninapokwenda inasifika sana
Kwa elimu (sijui na nini) inasifika sana
Shule yangu nakupenda...

Enzi za Mr. Msaki (Headmaster) kama tulivyo muita an object in the box, kwenye ile ofisi yake ambayo ilikuwa kama in hang vile...

Mambo ya half life, mbona ilikuwa raha? 94-96 kulikuwa na a crazy young man PCM anaitwa Frank, the guy was funny... Oh Ilboru!!!

Wakati wa kampeni za uchaguzi jamaa akawa anahutubia wananchi pale uwanja wa kanisani alisema "Ekenywa na Sekondari, oyeee" Jamaa wa Ekenywa wakawa offended kwa kuwa nao walikuwa ni secondary.

Zamu za kukuoboa mahindi kwenye mashine ya shule,

Natamani kuzuru Ilboru kuiona shule hii
 
Miaka ya tisini na kitu...

You know most people do not know why Ilboru is so gentle. You know the culture was what made it to be what it is and always has been.

3 WORD sentence was what is Ilboru culture...... I remember but I suspect someone else want to tell it and as a part of that culture I let him say it!!

It is a big secret revealed to public about our Ilboru!!
 
Inawezekana kweli shule mtu anayosoma na mazingira yake kwa namna fulani yana shape personality za watu!. unajua siyo siri pale ilboru vijana ni hardworking, wanasaidiana na kuheshimiana ile mbaya!. mfano mimi nilipokuwa ilboru pale form five, yaani form six anaheshimika vibaya sana, tena sometimes hata wewe kama ni form five yaani kuingia katika room za form six unakua unajistukia stukia.
halafu kuna ishu ya kuheshimiana, yaani ni vigumu kuona mtu wa kidato cha juu anamyanyasa mtu wa kidato cha chini.
kuna ustaarabu pia katika mambo mengi, mfano kuna kupanga msitari katika kupata chakula, ni aibu kutibua msitari ili uwatangulie waliokutangulia.
wakati wa shida kuna kusaidiana mno, sometimes kuna kukopeshana mkate "slice kwa slice", unanikopa slice mbili ninakulipa slice mbili.
Halafu Ilboru suala la imani ni suala lenye umuhimu wa kipekee, almost kila jioni baada ya kupata "Ng'ande",utawaona vijana haooo taratibu wanajikongoja katika vyumba vyao vya ibada, baada ya lisaa limoja au mawili hivi utawaona vijana hao wanajikongoja kwenda kupiga misuli!
Motto ya Ilboru ni "EDUCATION FOR SERVICE"
 
Wakuu mnakumbuka fimbo kuna mwaka (in the early 1990s) form four walikodisha mini busses kama tano hivi wakati ule ndio zimeingia tu kwa safari za AR-MS (TZC nakumbuka) to Weruweru kwenye graduu yao!?!?!? Ile kitu ilikuwa historia manake wengi walizoea yale mabasi ya Leyland CD (Saratoga, KBS, Mtei etc).....

Speaking of going to Weruweru na kibosho mnakumbuka pale boma ng'ombe tulipokuwa tunapata pombe na kudaka nyagi za kutinga nazo disco kuzipenyesha ili uwape rizim mademu??
 
Hapa ndipo au sipo washkaji?

n1246250343_30239294_2676.jpg
 
Ab-Tichaz, naona Rungwe kwa mbaali na pia pembeni ni yale mabweni ya form six (form seven) Assembly hall, naiona chapel nayo inajitokeza kiaina mwihsoni kule kwenye miti na nini!! dah mzee imekuwa more than 16 years sijapita viwanja pale..... big up mate nice clip mkuu....
 
Ilboru ni Ilboru tuu. Mimi ni wa Enzi za Bino. Japo alikuwa mkali kupindukia lakini dicipline yake imesaidia kujenga tabaka la mafakio kwa waliopitia mikononi mwake. Nakumbuka sana bweni langu Oldonyo as an A-Level sikufua nguo zaidi za ndani. Form one from were proud not to let big brothers do the wash. Ilikuwa ni Ilboru ya heshima mbele. Akina siye tuliyeripoti pale toka Tambaza, Tambaza ya enzi hizo, Tambaza ya kweli, mbona tuliyookea hapo!.

Disco la KB na Weruweru limesaidia baadhi yetu wa enzi hizo kuna watu zaidi ya 10 walijipatia wenzi wao wa maisha na kengele kanisani zimelia.
Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wenzetu waliotangulia akiwemo Jamaa aliyeitwa Rundiyaeli Masawe wa Boma Ng'ombe na Ujerummani.
Jamani Ilboru ile inatukumbusha mbali wee acha tuu.
 
Ab-Tichaz, naona Rungwe kwa mbaali na pia pembeni ni yale mabweni ya form six (form seven) Assembly hall, naiona chapel nayo inajitokeza kiaina mwihsoni kule kwenye miti na nini!! dah mzee imekuwa more than 16 years sijapita viwanja pale..... big up mate nice clip mkuu....

Karibu sana niko mbioni na nitaongeza zengine pindi ninapomaliza kazi hapa.
Subiri.
 
Dah eeebana we noma!! huo mlango wa kwanza hapo nyuma ya jamaa ktk hiyo picha ni room one ya Kilimanjaro.....niliishi humo mwaka mzima wakati nipo form VI!! Umenikumbusha mbali sana mazee....siku ya mwisho, tulichinja mbusi na washkaji kuiga room kwa nyama choma!!

Karibu sana mkuu.More will be coming soon.
 
Asante sana....room hiyo kuna memories nyingine sana, kuna mshkaji alivuta kabla hatuja maliza, watu kushindwa kupanda ngazi tokana na tungi jingi wakati wa wkend na vituko vya "kapteni Rume" na kikopo chake cha kuchukulia ng'ande.....:D!!

Kumbe dogo ulianza zamani eeeh? Sasa kuwa mwangalifu dogo maana huko unakoelekea ni kwenye alcoholism....
 
Jamani,

Sweet memories... Katara, hilo school bus kumbe bado lipo? Viva Ilboru and Viva Ilborians. Hiyo picha ya kwanza na ya pili kama vile zile siku za usafi??? Najaribu kukumbuka kwa mbali. Hawa jamaa walio mbele ya Katara wananikumbusha mbali sana, mmojawapo kama vile chalii angu Olais, but that was long time ago (96s). Ile picha nyingine iliyoonyesha Chapel inachomoza kwa mbali, inanikumbusha vipindi vya UKWATA kila jioni na ibada za Jumapili ambazo tulikuwa tunahudumiwa na a certain confused old man, at least we called him "Clergy".

Long live Ilboru
 
katika watu walimu wote Kimasiya alikuwa kiboko,mzushi alikuwa akiingia class ananuka pombe utafikiri amelaa kwenye pipa la mbege, kuna mwalimu mmoja alifarika in the 90s alikuwa anafundisha geography naomba jina lake kama kuna mtu anamkumbuka
 
Back
Top Bottom