Sasa nimeanza kuelewa "KATASA" kumbe Ilboru ilikuja pata basi?? Wow, mambo kumbe yalichangamka in the mid-late 90s and 2000s..... Unajua sisi wa late 80s and very early 90s tulikuwa na 110 moja ya Bluu flani lakini ilikuwa bomba sanaaaa.........
Long live Ilboru!!!! nakumbuka wimbo wa shule, "Shule yangu Ilboru inasifika sana....." huu nao ulibadilishwa au??
Duh, Ab-Tichaz, nimenyoosha mikono kaka.... Sisi tulikuwa wa Rungwe, Meru, Mawenzi na kidoooooogo, Oldonyo!!!!
Big up wakuu!!
Long live Ilboru!!!! nakumbuka wimbo wa shule, "Shule yangu Ilboru inasifika sana....." huu nao ulibadilishwa au??
Duh, Ab-Tichaz, nimenyoosha mikono kaka.... Sisi tulikuwa wa Rungwe, Meru, Mawenzi na kidoooooogo, Oldonyo!!!!
Big up wakuu!!