Hapo sasa.TPA haina uwezo wa kulisemea jambo hili , acheni kujipendekeza , hili msemaji wake ni lazima iwe serikali yenyewe .
Kwanza nyie TPA kila siku mnatimuliwa na wanawekwa watu wapya mnawezaje kuwa wasemaji wa Jambo la Kitaifa ?
Watu wengi hawawezi kukuelewa unachosema hapa.
Hii serikali ni ya ujanja ujanja sana. Ina ulaghai mwingi sana. Ni watu wachache sana, kama Tundu Lissu wanaoweza kutambua ulaghai mwingi unaotumiwa na watu hawa..
Hata Mbowe bila shaka bado kanasa kwenye kokolo la hawa walaghai wakubwa!
Kila jambo, wao ni ujanja ujanja tu, hakuna wanachokwambia cha ukweli moja kwa moja!.
Royal Tour hadi leo ni kitendawili. Wamasai wanahamishwa kule ili wapishe mawindo ya wenye pesa;. hakuna anayejua pesa za ujenzi wa zile nyumba Handeni zilitoka wapi!
Hii ni serikali inayouza wananchi wake utumwani wao wakichekelea kwa kudai wamewapa wananchi ajira!
Hii ni balaa!