Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Tangazo la TPA la ufafanuzi linasema wafanyakazi watakaobaki TPA watakwenda kufanya kazi bandari nyingine nje ya DSm. Kwa kauli hii maana yake hakuna mfanyakazi wa TPA atakayebaki bandari ya DSM baada ya DP world kuanza kazi?
Tangazo lao na ufafanuzi uliowakutolewa hapo awali ulionyesha ni baadhi ya gat zitapewa DP World, Leo kwenye taarifa kwa umma hakuna Sehemu uma unaambiwa gat gani itaendelea chini ya TPA badala yake watumishi wote wanaelekezwa kuchagua moja kati ya kwenda TPA mikoani au kubaki na DP World.
Naomba TPA watuambie ni wafanyakazi gani watabaki chini ya TPA wakisimamia bandari ya DSM? Au hadi management inaondoka kwenda kusimamia bandari za mikoa? Nauliza kwa sababu kuna tatizo la wakuu wa idara kuona kama wao siyo waajiriwa, tunafahamu watumishi wote wa TPA ni waajiriwa je mabosi nao wanakwenda kuajiriwa na DP world?
Pia soma Mamlaka ya Bandari (TPA) yatoa ufafanuzi kuhusu hali ya ajira za Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam
Tangazo lao na ufafanuzi uliowakutolewa hapo awali ulionyesha ni baadhi ya gat zitapewa DP World, Leo kwenye taarifa kwa umma hakuna Sehemu uma unaambiwa gat gani itaendelea chini ya TPA badala yake watumishi wote wanaelekezwa kuchagua moja kati ya kwenda TPA mikoani au kubaki na DP World.
Naomba TPA watuambie ni wafanyakazi gani watabaki chini ya TPA wakisimamia bandari ya DSM? Au hadi management inaondoka kwenda kusimamia bandari za mikoa? Nauliza kwa sababu kuna tatizo la wakuu wa idara kuona kama wao siyo waajiriwa, tunafahamu watumishi wote wa TPA ni waajiriwa je mabosi nao wanakwenda kuajiriwa na DP world?
Pia soma Mamlaka ya Bandari (TPA) yatoa ufafanuzi kuhusu hali ya ajira za Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam