FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
oooppppppps napita tu mie mnyarukolo
lols arifu aisee....hii mashine shilole kudadadadeki aisee......mzee MEGAWATI aka Ngereja hapa si ahonga Symbion yote
very sorry kwa wapanda milima AKA MANKA.....
Tabia ovyooo.... ila kwa uzuri, toto la Kinyamwezi kweli zuri jamani....... Acheni masiara. Hebu angalia hilo ANATOMY....
Piga ua galagaza juu chini popote pale ni ukweli usiopingika totozi za kisukuma ndio bora na wakali kuliko woote katika zone ya TAKEU....najua zile totozi zenye miguu kama wapanda milima wachaga watamind.......
oooppppppps napita tu mie mnyarukolo
Haswaa yaani mitabia yake inaboa kichizi, yaani tunashindwa kum classfyyah maaan...shem sikonge ndio kanitonya saa hii.....naweza amini si unaona toto lilivyo tepwe tepwe ila tabia kafuata za kizaramo na kizenji kupenda mishoroboko...
Umekosea...ni dunia nzima mfano:Richa Adhia,Happines Magese,Miriam Gerald,Sylvia Bahame,ulishafika dutwa wewe au ng'alita?????kule ni balaa.................angalia hata jirani yako hapo...
arifu hizi totozi si tunazo kitaa mbona......hakuna cha photoshop wala nini......hizi bana ni supernatural aisee umeambiwa nenda Ikinabushu, Matongo, Masewa, Ikungulyabashashi, Nyawa, Ng'wang'wenge, Ng'wanhale.Jamani msijetelekeza watoto wenu bure,wanaenda photo point wanapiga picha zinaoshwa weeeeeeeeee ndo zinawekwa mtandaoni,huyo kajibinua kiuno na kavaa viatu virefu anaonekana kajazia hivyo,kama mnabisha pitieni mlimani city photo point muone wanavyochakachua picha za kuwamalizieni vijisenti vyenu.