sio Dutwa tu! Nenda mpaka Nkoma, Nyakabindi mpaka kule Busesele!Umekosea...ni dunia nzima mfano:Richa Adhia,Happines Magese,Miriam Gerald,Sylvia Bahame,ulishafika dutwa wewe au ng'alita?????kule ni balaa.................angalia hata jirani yako hapo...
Big up kwa brothers Balantanda,Sikonge
Jamani msijetelekeza watoto wenu bure,wanaenda photo point wanapiga picha zinaoshwa weeeeeeeeee ndo zinawekwa mtandaoni,huyo kajibinua kiuno na kavaa viatu virefu anaonekana kajazia hivyo,kama mnabisha pitieni mlimani city photo point muone wanavyochakachua picha za kuwamalizieni vijisenti vyenu.
Nyie mtakuwa mnatoka karibu na mlima uleee!wazuri wanajifaham hawawezi kwenda kujipambanisha na wengine ndo wajijue, hawa si wabaya pia si wakali kivile.
Kuna binti anaitwa Lilian Kusekwa.............Alishawahi kuwa Miss Shinyanga na pia Miss Kanda ya Ziwa....
Mwenye picha yake atubandikie hapa.....Ni kifaa haswaa....
Hawajui wengine ugonjwa wetu ni hapo kwenye redUsukumani bana wao wanaangalia rangi tu mweupe bei juu mweusi bei chini
Mweupe unaweza ambiwa ng'ombe 40 lakini mweusi ng'ombe 2 tu unabeba mzigo.
Haswaaaaaaaaaaaaaaaaa.................
Huyu hapa??
Umekosea...ni dunia nzima mfano:Richa Adhia,Happines Magese,Miriam Gerald,Sylvia Bahame,ulishafika dutwa wewe au ng'alita?????kule ni balaa.................angalia hata jirani yako hapo...
sio Dutwa tu! Nenda mpaka Nkoma, Nyakabindi mpaka kule Busesele!
Kitoto Natural cha Kisukuma.......
Eti bwana!! Ukishaosha ukatoa hizo layer za rangi mwilini na kuvua kamba bandia kichwani kuna kitu kinabaki pale? Sidhani. Hiyo Ngosha miguu kama bomba za Dawasco.sioni jpya wanatisha kwa lipi bwana?
Kuna binti anaitwa Lilian Kusekwa.............Alishawahi kuwa Miss Shinyanga na pia Miss Kanda ya Ziwa....
Mwenye picha yake atubandikie hapa.....Ni kifaa haswaa....