The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Kwa wadada, kama kuna niliyemkwaza pole, mlikuwa naye humu humu siku zote, mie nimeshindwa kabisa kujizuia. Kama kuna aliyekuwa anampimia teh teh teh, ajifunze kusema mapema.
wewe lol......
Kwa wadada, kama kuna niliyemkwaza pole, mlikuwa naye humu humu siku zote, mie nimeshindwa kabisa kujizuia. Kama kuna aliyekuwa anampimia teh teh teh, ajifunze kusema mapema.
Kwa wadada, kama kuna niliyemkwaza pole, mlikuwa naye humu humu siku zote, mie nimeshindwa kabisa kujizuia. Kama kuna aliyekuwa anampimia teh teh teh, ajifunze kusema mapema.
Kwa wadada, kama kuna niliyemkwaza pole, mlikuwa naye humu humu siku zote, mie nimeshindwa kabisa kujizuia. Kama kuna aliyekuwa anampimia teh teh teh, ajifunze kusema mapema.
Waeleze waelezeee!
Maana kuna wengine hawaumwi mpaka waone ambulance
You made my day for this post
Lol....
Hujawahi kukutana nao wa aina hiyo!
Kama bado na usiombe
Nashangaa mpaka sasa wakodombwe hawajadai The Boss ndo Kongosho na kaanzaisha uzi kujipaisha!
KANUSHO: Sisemi kwamba The Boss ndo Kongosho.
ha haaaaaa wakodombwe sio....
kwani mi nilifikiri 'kudondekewa' huwa inamkuta kila mwanaume....au sio common....????
nimemkumbuka Queen Kami aisee....
Wee umesahau jinsi baadhi ya waja walivyodai? Maskini mdada wa watu...sijui kapotelea wapi tu!
WeWe Kongosho, mbona una jina la kiume.., au ndio utekelezaji wa sera za donald cameron umeanza.
wewe lol......
Na kamba umeikaza, pumzi zimenipaa
Macho yanaona kiza, na sasa nishapumbaa
Imebaki kujikaza, na ngoja dakika na saa
.....
Waeleze waelezeee!
Maana kuna wengine hawaumwi mpaka waone ambulance
Kweli JF is never Boring! Keep it up!Nashangaa mpaka sasa wakodombwe hawajadai The Boss ndo Kongosho na kaanzaisha uzi kujipaisha!
KANUSHO: Sisemi kwamba The Boss ndo Kongosho.
Nakuja chukua twisheni, wakati namloweka kwenye maji mizenazena, mdalasini na uturi niwe namwimbia haya mashairiNa kamba umeikaza, pumzi zimenipaa
Macho yanaona kiza, na sasa nishapumbaa
Imebaki kujikaza, na ngoja dakika na saa
.....
hata Avatar ni ya kiume, ila matendo ni ya kike, which justifies...! oooops! sorry kumbe hana Avatar?!!!!:A S embarassed:
Nakuja chukua twisheni, wakati namloweka kwenye maji mizenazena, mdalasini na uturi niwe namwimbia haya mashairi