The boss, nimekudondokea!

Status
Not open for further replies.

Kongosho

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
35,999
24,163
From day one hiyo Avatar yako ilinikonga plus tofauti za wavulana na wanaume ikamalizia kabisa.
Jiandae nimeamua kuleta posa, sitaki michango ntagharimia kila kitu.

Ya nini nife na kijiba cha roho wakati Beijing wameturuhusu kusema hisia zetu.
 
Boss akiwa nazo hizo prenup papers si do faraja kwako? Au Zis Boss iz arosto!

hee hee we mtoto
lugha ya 'manchester tandale' 'arosto' na wewe waijua?
kumbe 'manchester' haikasahaulisha sana?
uliiona pre nup ya beyonce?some pre nup zinawaumiza men...
 
ninakukabidhi rasmi Kongosho
umfundishe mistari yenyewe lol

btw..uliona ile thread ya ujenzi?hukunijibu lol

Ipi hiyo Boss? Niliyoiona imemaliza na nikihitaji matofali mekundu niku PM

btw huyo Koshongo hahitaji kufundishwa mistari yeye kaachiwa urithi wa unyakanga wa ukoo, uchoke wewe tu

Haloooo
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom