Japo mdada kasema hataki michango lakini nikiwa kama lawyer wa The Boss nasema michango ni lazima, na mnatakiwa muiwasilishe kwangu haraka sanaHongera Boss
Hongera Beijing
Japo mdada kasema hataki michango lakini nikiwa kama lawyer wa The Boss nasema michango ni lazima, na mnatakiwa muiwasilishe kwangu haraka sana
Japo mdada kasema hataki michango lakini nikiwa kama lawyer wa The Boss nasema michango ni lazima, na mnatakiwa muiwasilishe kwangu haraka sana
kwa kweli hii inahitaji laywer
na wasiwasi na pre nup papers anazo tayari lol
Michango ya mawazo au umekusudia ipi tena?
Kama ya mistari mhusika mkuu ananielewa nipoje kwenye taasisis hiyo
:]
Tayari yupo kwenye file. akituma PM unatakiwa kuzidivert kwangu, nitamalizana nae kilawyer.kwa kweli hii inahitaji laywer
na wasiwasi na pre nup papers anazo tayari lol
Michango ya mawazo au umekusudia ipi tena?
Kama ya mistari mhusika mkuu ananielewa nipoje kwenye taasisis hiyo
:]
Boss akiwa nazo hizo prenup papers si do faraja kwako? Au Zis Boss iz arosto!
ninakukabidhi rasmi Kongosho
umfundishe mistari yenyewe lol
btw..uliona ile thread ya ujenzi?hukunijibu lol
euro mwalim