Tatizo hili ni la mke wangu tu au wanawake wote married?

Kwanza nikueleze kwamba sijakaribia age ya mid- life crisis unayosema mi hata 45 yenyewe bado sana. Nashukuru kwa ushauri wenu ila nasikitika pia unatofautiana na ninaopata kwenye chama chetu cha wanaume tulioa yaani couple's group. Katika chama chetu ambacho wake zetu nao ni memmbers kwa kujadili mambo ya akina mama walioolewa kuna mambo ambayo wanaume wengi wana face ktk ndoa ambayo ni common. Na hapa ni ngumu sana ku share everything kwa sababu muda hautoshi na siyo rahisi kueleza kitu kwa maandishi kikaaleweka unavyotaka kieleweke kwani kila mtu anakuwa na different intepretation kama ilivyotokea kwenye hii thread.

...nakuelewa bro, nakuelewa sana ndugu yangu.

ninachojaribu ku share nawe hapa ni possibilities tu ya huo usongo wa mawazo kutokana na vijitabia na maudhi unavyojiaminisha anavyo mkeo pekee..
ninachokudhihirishia, hakuna ndoa iliyo smooth kwa asilimia 100%...

nimekupa mfano wa midlife crisis, na bahati nzuri mwenyewe wafahamu ina range kwenye 45yrs,....lakini wakati huo huo unakumbuka uliandika wanaume wengi wanakufa kwa heart attacks miaka hii? ina maana life span ya wanaume wa kibantu inashuka compared na wenzetu weupe,...kwanini? hiii ni mada nyingine itayohitaji uchambuzi family issues (incl extended & societies) zina link vipi kwenye milipuko ya magonjwa inayopelekea vifo tungali vijana...

usiishi na mkeo kama fulani anavyoishi na mumewe bana,....hiyo couples group ni kweli mnahadithiana yote yanayojiri au mnapeana hadithi za alinacha tu?...hakuna expert wa ukweli ndani ya ndoa yenu isipokuwa nyie wawili pekee, sisi wasomaji na wachangiaji hatujui kiatu kinavyokubana wala kunguni wa kitanda ulichokilalia... ulipoamua kuyaweka hadharani ulitegemea tutaku support pekee?

hapana bana, take a sip of ice cold water....relax na usiku wa leo hakikisha unaumshukuru mkeo kwa kusimama nawe muda wote huu...she needs a hug and kisses, the only reassurances kwamba mlichaguana for better and for worse...
 
Mtunzi wa thread umekosea majibu. Majibu yalitakiwa yawe NI WANAWAKE WOTE; NI MKE WAKO TU. Na si ndio au hapana.

Na mimi naomba nijibu; Hamna jibu sahihi.
 
mweeh! u need a secretary wa kutunza hiz ahadi for future reference. u must be very controlling and u blv u ar perfect. usishangae one time ukamfukuza akafurahia hadi ukasononeka! sijui kama nyumbani naweza kuwa na targets agreement contract kama kazini. una Personal Development Plan?<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
Haya ndiyo matatizo ya ndoa za wasomi watupu, Naomba mungu nipate mke mwenye diploma tu kwa mwendo huu
 
<br />
<br />
Mkikutana huko Bar kudanganyana.na soln mnazojipa ni wewe mtafutie small house.MAGROUPE YENU YANA MADHARA SANA.kuna jamaa mmoja yeye mke alimuudhi eti akaamua kupiga mimba mademu.ana watoto sita nje ya ndoa wengine wanalingana umri

Once again you're missing very important point Fe Lady. Kwa taarifa yako niliacha pombe ya aina yoyote na kilevi chochotea kwa hiari yangu nikiwa form II mpka leo na mimi sinywi wala wife siyo mnywaji . Ningekuwa bar nisingeweza kuchangia humu dada hapa nipo na familia home na huyu mama yuko hapa.
 
Kama ushauri unaoupata huko kwenye chama chenu ni tofauti na huu uliopewa hapa jamvini basi nakushauri rudisha kadi ya uanachama haraka sana kabla ya kumpoteza mke mwema kwa sababu ushauri wao haujengi bali unabomoa na hivyo ni ushauri potofu.

Utofauti wetu na chama chako ndio flavor yenyewe. Unapata wider choice.

...hivi, mmegundua he's under 45yrs? humu jf atakumbana na ushauri wa over 45yrs...sasa ataamua mwenyewe ipi ni tamu na ipi shubiri...either asikilize mashauri ya wana jf au couples group ambao nashawishika kuamini wengi wao ni under 45...
humu hatumung'unyi maneno,...we call a spade a spade!
 
  • Thanks
Reactions: BAK

...hivi, mmegundua he's under 45yrs? humu jf atakumbana na ushauri wa over 45yrs...sasa ataamua mwenyewe ipi ni tamu na ipi shubiri...either asikilize mashauri ya wana jf au couples group ambao nashawishika kuamini wengi wao ni under 45...
humu hatumung'unyi maneno,...we call a spade a spade!

Mkuu Mbu wengine wanaompa ushauri wako under 45yrs lakini kwenye mambo haya ya mahusiano vichwa vyao vimetulia mno!! huwa hawamung'unyi kabisa kwenye maswala kama haya.
 
Once again you're missing very important point Fe Lady. Kwa taarifa yako niliacha pombe ya aina yoyote na kilevi chochotea kwa hiari yangu nikiwa form II mpka leo na mimi sinywi wala wife siyo mnywaji . Ningekuwa bar nisingeweza kuchangia humu dada hapa nipo na familia home na huyu mama yuko hapa.
<br />
<br />
kuwa bar si lazima muwe walevi.nilimaanisha bar kwa hizo discussion zenu,sijui mke wangu hivi,aah wangu nilimfanyia hv.mnadanganyana tu
 
Remember ur differences may be a good resource for ur socio-economic development. Kama mlifunga ndoa si mlikubaliana kuishi ktk raha na shida?
Ndoa ni kupendana, kuelewana na kuvumiliana.
Ni vizuri kuomba ushauri, lakini ushauri mwingine hupotosha. Naona unayoyaona ni matatizo ni ww unayakuza.

Siku itakapofika mkaanza kukubaliana kwa kila jambo jua mmoja wenu amekoma kufikiri.
 

Mkuu Mbu wengine wanaompa ushauri wako under 45yrs lakini kwenye mambo haya ya mahusiano vichwa vyao vimetulia mno!! huwa hawamung'unyi kabisa kwenye maswala kama haya.

....lol.....ssssshhhhhhh, nawe usiandike kwa sauti bana....tukitaja umri wetu hapa wengine hatutasikilizwa,
Ndio mwanzo wa kuambiwa iweje underage (18yrs) tuna 22 and above years of experience....kumbe wanasahau kujumlisha tu....
 
kumbe ni utunzi unaoendelea hapa?....lol
Kwa taarifa yako huu si utunzi ni kisa cha kweli. Ila ninashukuru sana kwa ushauri mzuri hasa kutoka kwa wale wenye ndoa kama mimi ila kwa wale vijana ambao bado hawajaingia kwenye ndoa si rahisi kukubaliana na theories zao. Hapa nimepata makapi na ngano na nimeamua kuchukua ngano hivyo wakuu GT msichoke kutenda wema kwa juhudi kama mlizoonyesha mlivyochangia hii thread ila bado nakaribisha mawazo mengine. Nitamkaribisha wife asome comments zote mlizotoa ili na yeye apate mawaidha yenu wakuu au mnasemaje?
 
ha ha ha haaaaa!
sijafurahi ila nimecheka tu. mkuu haya matatizo ni ya kawaida kabisa hivyo ndivyo walivyo. tena wakiongezea na kisomo ndo hapatoshi kabisaaaa. na ukweli ni kwamba kudharau hizo tabia pia ni vigumu coz lengo la ndoa ni kupata utulivu sasa ikiwa anakuja ni vijambo vya kuudhi ni kwa asilimia zote ndoa inaingia dosari. cha kufanya bana kama ni wa kwetu ongeza mke mwengine hiyo ndo dawa tosha. kama wa kule basi vumilia tu cozz hata maandiko ya dini yameshaeleza kuwa wanawake ni mitihani. na kila unapovumia mitihani ya mke ndo rehma zenyewe za ndoa ila ukweli inafikia sehemu hayavumiliki na hutakiwi kukata tamaa japo kwamba hali ya kutokukata tamaa nayo inakatisha tamaa.. kama imefikia hapa na umeshasema naye basi chukua hatua. delete her paste another one....
 
<br />
<br />
kuwa bar si lazima muwe walevi.nilimaanisha bar kwa hizo discussion zenu,sijui mke wangu hivi,aah wangu nilimfanyia hv.mnadanganyana tu

Hayo siyo maeneo yangu kabisa.Wala sina makundi dada isipokuwa nisalimie jirani na wale wa ofisini. Nimetoa hiyo habari humu tu kwa kuwa ni arena of freedom ambapo siyo rahisi kunijua kwa sura na kama nina tabia za kumfanya mke wangu tangazo la biashara basi ningekuwa nimepata ushauri huko unakosema na wala nisingekuwa naye hadi leo. Nimeamini hapa watu ni wastaarabu na watajadili kwa hoja zaidi na pia tuko invisible. Naomba uelewe wanaume wengine tuna code of conduct Fe Lady mambo yetu hatufanyi public na elewa kwamba kama huyu mke bado nalala naye kitanda kimoja basi namheshimu na kumthamini sana.

Siwezi kwenda barabarani na kuwatangazia wanaume wenzangu mke wangu yuko hivi au vile la hasha mi siyo mwehu kiasi hicho dada.
 
Nimejaribu kusoma maelezo ya ndugu yetu na michango ya ndugu wapendwa wa JF na hadi nilipoishia, sijaona hata kosa moja la huyu mwanamke ambaye analalamikiwa! Kama hii ingekuwa mahakama, basi hii kesi ingehukumiwa upande mmoja na mama kupewa ushindi!

Kama angeleta yeye maelezo yake, naamini mjadala huu ungekuwa mzuri sana........!!

Kama ningekuwa bado kijana ningeomba siku akimfukuza anipe mimi...!!
 
ha ha ha haaaaa!
sijafurahi ila nimecheka tu. mkuu haya matatizo ni ya kawaida kabisa hivyo ndivyo walivyo. tena wakiongezea na kisomo ndo hapatoshi kabisaaaa. na ukweli ni kwamba kudharau hizo tabia pia ni vigumu coz lengo la ndoa ni kupata utulivu sasa ikiwa anakuja ni vijambo vya kuudhi ni kwa asilimia zote ndoa inaingia dosari. cha kufanya bana kama ni wa kwetu ongeza mke mwengine hiyo ndo dawa tosha. kama wa kule basi vumilia tu cozz hata maandiko ya dini yameshaeleza kuwa wanawake ni mitihani. na kila unapovumia mitihani ya mke ndo rehma zenyewe za ndoa ila ukweli inafikia sehemu hayavumiliki na hutakiwi kukata tamaa japo kwamba hali ya kutokukata tamaa nayo inakatisha tamaa.. kama imefikia hapa na umeshasema naye basi chukua hatua. delete her paste another one....

Ze burner haya ndiyo majibu na ushauri nilikuwa nategemea kwa men ila huu ushauri wa mwisho wa kuongeza kama kinywaji kwetu haturuhusiwi mkuu.
 
Mkeo usimwonyeshe huu uzi tafadhali. Unaweza ukamtia kiburi next time mkigombana akasema "wewe mkorofi hata JF wamesema!"

SO puliizi huu ushauri uwe siri yako tekeleza vya kutekeleza vya kuacha viache.

Hizi comment zina msaada kwako si kwake.

Kwa taarifa yako huu si utunzi ni kisa cha kweli. Ila ninashukuru sana kwa ushauri mzuri hasa kutoka kwa wale wenye ndoa kama mimi ila kwa wale vijana ambao bado hawajaingia kwenye ndoa si rahisi kukubaliana na theories zao. Hapa nimepata makapi na ngano na nimeamua kuchukua ngano hivyo wakuu GT msichoke kutenda wema kwa juhudi kama mlizoonyesha mlivyochangia hii thread ila bado nakaribisha mawazo mengine. Nitamkaribisha wife asome comments zote mlizotoa ili na yeye apate mawaidha yenu wakuu au mnasemaje?
 
Back
Top Bottom