jah bless xon
Senior Member
- Apr 4, 2019
- 113
- 259
Habari
Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.
JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?
Tembea uone mengi akii..
Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.
JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?
Tembea uone mengi akii..