Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,839
Nikimfukuza atakuwa exile tu na sina mpango wa kuona tena kwa sababu ninyi wanawake woote mna vitabia vya aina moja hata kama mmesoma mna behave kama mwanamke yeyote wa kijijini. Tena ladies wengine wa vijijini ni waelewa kuliko wa mjini. hao wanaume wanasema nimeoa lulu ni wale wanaopenda dezo za kupewa pewa na wanawake fuatilia hawana reason nyingine. Kuwa mvumilivu niko sana na ndo maana nimekaa naye kwa miaka 12. Jestina please nitendee haki
....dahhh, sasa mwana kwetu, iwapo umejithibitishia kwa msitari huo niliou highlight kwa wekundu, iweje leo hii unataka mkeo awe tofauti bana? ....
ni mambo madogo madogo tu ya kukubaliana nayo kwamba hakuna mkamilifu duniani, na mkeo is no exceptional.
pale kwenye mapungufu yake unatakiwa wewe ukamilishe huo upungufu bana. ndio maana pakasemwa ni bora kumuoa
imperfect partner ili kukamilisha a perfect couple, si ndio bana?
ni mambo madogo madogo tu ya kukumbushana na kukubaliana. hizo kero za mkeo ni mfano wa kivuli tu,...
usitishike kwa ukubwa wa kivuli nawe ukakikuzaaaa....
relax bana....hakuna mkamilifu, by the way, i admire mkeo anavyokuchangamsha akili,....
pamoja na usomi wote, unashindwa kumuelewa? imagine wale jamaa omba omba wa mitaani unawaona na wake zao