Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,736
- 19,883
mkeo ni aina fulan kama mchumba wng coz mi nimeamua kuchukulia yeye ni aina tu ya binadamu kati ya millions variaties of human being nilichokifanya kumbagua kidogo katika majukumu haswa yale niliyompaga na hakuyatekeleza au kulipua na hivyo kumfanya AUMIE huku akijilaumu kwanin sikufanya au kwa nin nimelipua na hivyo kumfanya ajirudi automatically Tena ikiwezekana unampa hata Msichana mwenzie ila usiwe na uhusiano nae huyo girl.MPENDE MKEO KWANI KOSA LAKE NI DOGO SANA NDO MAANA MMEFIKISHA UMRI HUO KWENYE NDOA