Tatizo hili ni la mke wangu tu au wanawake wote married?

mkeo ni aina fulan kama mchumba wng coz mi nimeamua kuchukulia yeye ni aina tu ya binadamu kati ya millions variaties of human being nilichokifanya kumbagua kidogo katika majukumu haswa yale niliyompaga na hakuyatekeleza au kulipua na hivyo kumfanya AUMIE huku akijilaumu kwanin sikufanya au kwa nin nimelipua na hivyo kumfanya ajirudi automatically Tena ikiwezekana unampa hata Msichana mwenzie ila usiwe na uhusiano nae huyo girl.MPENDE MKEO KWANI KOSA LAKE NI DOGO SANA NDO MAANA MMEFIKISHA UMRI HUO KWENYE NDOA
 
a wife of noble character who can find? She is worth far more than rubies
proverb 31; 10-31

...dahhh, e bana wee...umebahatika mke mzuri kuliko wanawake asilimia 99% wa kisasa.
hutajua thamani ya mtu uliyenaye mpaka siku utapomkosa.

usituringishie bana, dahhh...mpaka macozi yananitoka ulivyobahatika kupata mke wa aina hiyo bana,
hongera sana...mbu naadhirika hapa kwa uchungu wa haya niyasomayo..
platinum
 
Hii argument ni sawa kabisa king'asti na ndio maana wewe siyo mke wangu. Kumbuka ndege wanaofanana huruka pamoja kwa hiyo mimi na wewe hatufanani.

Too judgemental kwa sababu inawezekana ndoa mnayotaka ni ile ya mama kukaa kibarazani na kupaka ina kila jioni halafu mkistaafu kazi mnahamia kwa watoto kuwatesa wakati mlikuwa na muda wa kutengeneza maisha yenu ya baadaye pamoja.

...12yrs of marriage, kwakweli nyie ni ndege mfananao,....na kwa kila mapungufu ya mkeo, nawe yako yanamkera vile vile...ila, kwakuwa mnafanana, si rahisi kwako kuona mapungufu yako.


We acha tu Mkuu Mbu....unamtamkia maneno mkeo ambaye hayastahili kutamkwa, "mie sikutaki tena" halafu baada ya dakika chache unamkuta yuko wima anakupigia pasi nguo zako na kisha baadaye anakutayarishia chai na kukuwekea mezani, eti unajidai siwezi kunywa kwa "jinsi nilivyojawa na hasira" hasira zipi hizo ambazo zinashindwa kuona mapenzi makubwa ya mkeo kwako pamoja na ugomvi mkubwa bado akaweka pembeni hasira zake na kukutumikia. Kama alivyosema BOSS huyu jamaa hakustahili kupata mke mwema kiasi hiki ambaye inaonyesha hamthamini kabisa.

...acha tu bak, yaani we acha tu...lakini kwa mtazamo wangu, huyu bwana anakabiliwa na mid life crisis ambayo
kama kawaida, 'mnyonge' wake ndiye atayekuwa victim wa kumalizia hasira zake. In this case, mkewe maskini ndiye
anayebebeshwa mizigo ya lawama kwa mapungufu yake mwenyewe mwana kwetu.

...kama walivyo alcoholics, chain smokers, sex addicts na drug addicts, hatoweza kujinusuru na kuangamia kwake ila tu atapojikubalisha yeye ana matatizo/mapungufu pia.

...yeye ndiye dereva wa mawazo yake, na hakuna mwingine anayepaswa kulaumiwa ila yeye mwenyewe. kinyume na hapo, nasikitika sana kumsoma mwenzetu mwana kwetu akielekea kwenye shimo...

mwana kwetu, inaniuma sana,...inaniuma sana bro...
mwana kwetu, badilika kabla hujafikia the point of no return.
mrudie mwenyezi mungu, umemuacha sana mwenyezi mungu,
umepoteza muelekeo, umepoteza njia, nyota na nuru yako inafifia...
moyo na roho yako vinazingirwa na giza,...giza ambalo ni ibada tu itayokuokoa.
 
ndoa ya MOU kwikwikwiiii

NIMEELEWA KWA NINI WA TANZANIA TUNA FAIL MITIHANI RAHISI. THREAD YANGU ILITAKA TU JIBU LA SWALI AMBALO LILIHITAJI "NDIYO AU HAPANA" Kama ningeamua kutoa MARKS hapa wachangiaji wote mnge score ZERO kwa sababu hamkulielewa swali ama kutokana na uvivu wa kufikiri au kwa kujidai wajuaji sana.
 
Kaka ishi na mkeo...

Suppose angekuwa mtoto wako mwenye tabia hizo ungemkata mikono ndugu?

After all mamako na babako walikuvumilia na tabia zako zote ...mvumilie mwenzako...acha

Lower your expectation period life must goes on
 
NIMEELEWA KWA NINI WA TANZANIA TUNA FAIL MITIHANI RAHISI. THREAD YANGU ILITAKA TU JIBU LA SWALI AMBALO LILIHITAJI "NDIYO AU HAPANA" Kama ningeamua kutoa MARKS hapa wachangiaji wote mnge score ZERO kwa sababu hamkulielewa swali ama kutokana na uvivu wa kufikiri au kwa kujidai wajuaji sana.

Unagombana na watu usiowaona duh! mkeo ana kazi aisee.
 
BAk... if we (men) could read what is written in MMU, we'd be better men

Agreed...kuna mtu aliwahi kuandika kwamba JF ni shule kubwa sana, na kauli yake ni ukweli mtupu. Nadhani alikuwa WoS.
 
NIMEELEWA KWA NINI WA TANZANIA TUNA FAIL MITIHANI RAHISI. THREAD YANGU ILITAKA TU JIBU LA SWALI AMBALO LILIHITAJI "NDIYO AU HAPANA" Kama ningeamua kutoa MARKS hapa wachangiaji wote mnge score ZERO kwa sababu hamkulielewa swali ama kutokana na uvivu wa kufikiri au kwa kujidai wajuaji sana.

...hhahhahha.... we bana wee....hebu acha vituko bana.
hii wikiendi inakuishia vibaya bana. hebu mlaani shetani,
kesho jumatatu, wiki mpya inaanza...yaliyopita si ndwele...

unasema ulitaka jibu la ndio au hapana kwa swali lako,
mbona nawe umekuja na maandiko mareeeeeeefu,...au haya "haya hu?!"

Katika kipindi cha miaka 12 ktk ndoa yangu nimegundua tatizo kubwa sana la mke wangu ambalo kwa ufupi ni chanzo kikubwa cha migogoro ktk ndoa yetu. Nimegundua kuwa wife wangu ni vigumu ku keep maagano au makubaliano consistently bila kuvunja. Kwa mfano mnakuta mmekubaliana kwamba tabia au mambo fulani ndani ya ndoa hupendi au yanaleta kero na ugomvi hivyo mke wangu anakubali kabisa kwamba nitaacha sitarudia tena kwani najua nakuudhi" Vivyo hivyo na mimi mume nakubaliana na wife kwamba zile tabia zangu ambazo ni kero kwake nitaacha for good. Huwa nakuwa mwaminifu na nimeacha silika zinazomfanya mke wangu achukie na kukosa amani for her sake.

Mimi nilidhamiria na nimefanikiwa kuacha kabisa vitabia ambavyo ni kero na chanzo cha migogoro na wife kwani sipendi niwe chanzo cha kumfanya wife uncomfortable.

Cha ajabu ni kwamba yeye wife amekuwa na vicious cycle ya kuvunja maagano na maazimio kwa kurudia rudia mambo ambayo ni kero kwangu. Pamoja na kwamba sote ni wasomi kwa level ya Masters inanipa shida kumwelewa ni kwa bahati mbaya au ni kwa makusudi anafanya anapoamua kurudia rudia tabia zinazo nikera. Ukimwuliza kwa nini umevunja makubaliano huwa mbishi na no apology na kuna uwezekano wa escalation ya ugomvi. Hii inanipa shida sana kwani huwa nataka tukikubaliana basi I keep promise kama ninavyomfanyia lakini never.
Uwezo wake wa ku maintain ahadi hauzidi miezi miwili hata kama last time ugomvi ulikuwa mkubwa kiasi gani.

Kinachonishangaza zaidi ni kwamba huyu wife kazini kwake kote alikiofanya kazi anasifiwa kwa kufanya vizuri iwe yuko na bosi mwanamke au mwanaume. Najiuliza kichwa hichohicho kinashindwaje kufanya hivyo hivyo nyumbani kisifiwe na husband?
Huyu wife ni mwepesi wa kukiri kosa na kuomba msamaha ila ndo hivyo anarudia tena.
Naomba kuwauliza mlioko kwenye ndoa je tatizo hili ni la wanawake wote au ni mke wangu tu analo? Na je solution yake nini kwani nimetumia uwezo wangu wote kumwelewesha anavyosababisha ugomvi kwenye marriage bado anaonekana kusahau wiki chache baada ya ugomvi? .

...haya bana, na re-seat 'mtihani' na jibu langu ni HAPANA.
 
shida ni kwamba unataka yeye awe kama wewe wakati si wewe,nilichofurahi kuwa ni mwepesi yeye kukiri makosa,hiyo ni nzuri!!!mchukulie hayo ndio madhaifu yake,period!!!!miaka 12 ya ndoa si haba,kama ni mwaminifu kwako,haya mengine yasikupe shida sana,wakati mwingine yapuuzie kama ulishawahi mwambia,ataacha pole pole!!!
 
Nikimfukuza atakuwa exile tu na sina mpango wa kuona tena kwa sababu ninyi wanawake woote mna vitabia vya aina moja hata kama mmesoma mna behave kama mwanamke yeyote wa kijijini. Tena ladies wengine wa vijijini ni waelewa kuliko wa mjini. hao wanaume wanasema nimeoa lulu ni wale wanaopenda dezo za kupewa pewa na wanawake fuatilia hawana reason nyingine. Kuwa mvumilivu niko sana na ndo maana nimekaa naye kwa miaka 12. Jestina please nitendee haki
<br />
<br />
huyo Jestina anakifaduro cha utosi..! Hasikufanye ukapuuza baadhi ya hoja za msingi zilizotolewa na wadau humu, ktk kutatua tatizo/matatizo yako. Binafsi kwanza unahitaji pongezi kwa muda ulionao katika ndoa, kwani unawezakuwa chachu kwa waliomo wenye muda mfupi na wanaotarajia kuingia. Zidisha uvumilivu na kuzidi kumuomba Mungu sana, natumai matokeo yapo njiani.
 

...12yrs of marriage, kwakweli nyie ni ndege mfananao,....na kwa kila mapungufu ya mkeo, nawe yako yanamkera vile vile...ila, kwakuwa mnafanana, si rahisi kwako kuona mapungufu yako.




...acha tu bak, yaani we acha tu...lakini kwa mtazamo wangu, huyu bwana anakabiliwa na mid life crisis ambayo
kama kawaida, 'mnyonge' wake ndiye atayekuwa victim wa kumalizia hasira zake. In this case, mkewe maskini ndiye
anayebebeshwa mizigo ya lawama kwa mapungufu yake mwenyewe mwana kwetu.

...kama walivyo alcoholics, chain smokers, sex addicts na drug addicts, hatoweza kujinusuru na kuangamia kwake ila tu atapojikubalisha yeye ana matatizo/mapungufu pia.

...yeye ndiye dereva wa mawazo yake, na hakuna mwingine anayepaswa kulaumiwa ila yeye mwenyewe. kinyume na hapo, nasikitika sana kumsoma mwenzetu mwana kwetu akielekea kwenye shimo...

mwana kwetu, inaniuma sana,...inaniuma sana bro...
mwana kwetu, badilika kabla hujafikia the point of no return.
mrudie mwenyezi mungu, umemuacha sana mwenyezi mungu,
umepoteza muelekeo, umepoteza njia, nyota na nuru yako inafifia...
moyo na roho yako vinazingirwa na giza,...giza ambalo ni ibada tu itayokuokoa.


Kwanza nikueleze kwamba sijakaribia age ya mid- life crisis unayosema mi hata 45 yenyewe bado sana. Nashukuru kwa ushauri wenu ila nasikitika pia unatofautiana na ninaopata kwenye chama chetu cha wanaume tulioa yaani couple's group. Katika chama chetu ambacho wake zetu nao ni memmbers kwa kujadili mambo ya akina mama walioolewa kuna mambo ambayo wanaume wengi wana face ktk ndoa ambayo ni common. Na hapa ni ngumu sana ku share everything kwa sababu muda hautoshi na siyo rahisi kueleza kitu kwa maandishi kikaaleweka unavyotaka kieleweke kwani kila mtu anakuwa na different intepretation kama ilivyotokea kwenye hii thread.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
shida ni kwamba unataka yeye awe kama wewe wakati si wewe,nilichofurahi kuwa ni mwepesi yeye kukiri makosa,hiyo ni nzuri!!!mchukulie hayo ndio madhaifu yake,period!!!!miaka 12 ya ndoa si haba,kama ni mwaminifu kwako,haya mengine yasikupe shida sana,wakati mwingine yapuuzie kama ulishawahi mwambia,ataacha pole pole!!!

Huu ushauri ni more balanced kuliko watu wengine ambao wanatoa ushauri wakiwa wanakunywa kiroba.
 
Kwanza nikueleze kwamba sijakaribia age ya mid- life crisis unayosema mi hata 45 yenyewe bado sana. Nashukuru kwa ushauri wenu ila nasikitika pia unatofautiana na ninaopata kwenye chama chetu cha wanaume tulioa yaani couple's group. Katika chama chetu ambacho wake zetu nao ni memmbers kwa kujadili mambo ya akina mama walioolewa kuna mambo ambayo wanaume wengi wana face ktk ndoa ambayo ni common. Na hapa ni ngumu sana ku share everything kwa sababu muda hautoshi na siyo rahisi kueleza kitu kwa maandishi kikaaleweka unavyotaka kieleweke kwani kila mtu anakuwa na different intepretation kama ilivyotokea kwenye hii thread.

Kama ushauri unaoupata huko kwenye chama chenu ni tofauti na huu uliopewa hapa jamvini basi nakushauri rudisha kadi ya uanachama haraka sana kabla ya kumpoteza mke mwema kwa sababu ushauri wao haujengi bali unabomoa na hivyo ni ushauri potofu.
 
Uzi wako mkuu si wa kujibiwa ndio au hapana. Rudia maswali ulouliza.

Kama una limit majibu kama tuko darasani nadhani hata vikao unavyoita kwa ajili ya kusuluisha ndoa yenu una wapa limit hao wazee of what to talk. "Wazee nauliza nani mkosaji mimi au mke wangu?" "

Naona jinsi unavyo comment; mara nahesabu kura nani kachangia nini; mara mgejibu ndiyo au hapana. Mara wote mgepata zero. Kha. Discussive power imetufanya tukujue tabia japo hatukujuhi. Utakuwa mtu wa amri sana mkuu.

Sasa hayo masharti hapa tuko jamvini je nyumbani inakuwaje? No wonder unachukua peni na karatasi na kusign mkataba na wife wa mazungumzo yenu.
 
Utofauti wetu na chama chako ndio flavor yenyewe. Unapata wider choice.

Kwanza nikueleze kwamba sijakaribia age ya mid- life crisis unayosema mi hata 45 yenyewe bado sana. Nashukuru kwa ushauri wenu ila nasikitika pia unatofautiana na ninaopata kwenye chama chetu cha wanaume tulioa yaani couple's group. Katika chama chetu ambacho wake zetu nao ni memmbers kwa kujadili mambo ya akina mama walioolewa kuna mambo ambayo wanaume wengi wana face ktk ndoa ambayo ni common. Na hapa ni ngumu sana ku share everything kwa sababu muda hautoshi na siyo rahisi kueleza kitu kwa maandishi kikaaleweka unavyotaka kieleweke kwani kila mtu anakuwa na different intepretation kama ilivyotokea kwenye hii thread.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kwanza nikueleze kwamba sijakaribia age ya mid- life crisis unayosema mi hata 45 yenyewe bado sana. Nashukuru kwa ushauri wenu ila nasikitika pia unatofautiana na ninaopata kwenye chama chetu cha wanaume tulioa yaani couple's group. Katika chama chetu ambacho wake zetu nao ni memmbers kwa kujadili mambo ya akina mama walioolewa kuna mambo ambayo wanaume wengi wana face ktk ndoa ambayo ni common. Na hapa ni ngumu sana ku share everything kwa sababu muda hautoshi na siyo rahisi kueleza kitu kwa maandishi kikaaleweka unavyotaka kieleweke kwani kila mtu anakuwa na different intepretation kama ilivyotokea kwenye hii thread.
<br />
<br />
Mkikutana huko Bar kudanganyana.na soln mnazojipa ni wewe mtafutie small house.MAGROUPE YENU YANA MADHARA SANA.kuna jamaa mmoja yeye mke alimuudhi eti akaamua kupiga mimba mademu.ana watoto sita nje ya ndoa wengine wanalingana umri
 
Uzi wako mkuu si wa kujibiwa ndio au hapana. Rudia maswali ulouliza.

Kama una limit majibu kama tuko darasani nadhani hata vikao unavyoita kwa ajili ya kusuluisha ndoa yenu una wapa limit hao wazee of what to talk. "Wazee nauliza nani mkosaji mimi au mke wangu?" "

Naona jinsi unavyo comment; mara nahesabu kura nani kachangia nini; mara mgejibu diyo au hapana. Mara wote mgepata zero. Kha. Discussive power imetufanya tukujue tabia japo hatukujuhi. Utakuwa mtu wa amri sana mkuu.

Sasa hayo masharti hapa tuko jamvini je nyumbani inakuwaje. No wonder unachukua peni na karatasi na kusign mkataba na wife wa mazungumzo yenu.
Kama ulikuwepo huyu jamaa amezoea ku-command..and he looks very formal..

Kaka ndo hutakiwa kuwa formal ki-hivyo take it easy..relax..enjoy.
 
...hhahhahha.... we bana wee....hebu acha vituko bana.
hii wikiendi inakuishia vibaya bana. hebu mlaani shetani,
kesho jumatatu, wiki mpya inaanza...yaliyopita si ndwele...

unasema ulitaka jibu la ndio au hapana kwa swali lako,
mbona nawe umekuja na maandiko mareeeeeeefu,...au haya "haya hu?!"



...haya bana, na reseat 'mtihani' na jibu langu ni HAPANA.

Hata wabunge huwa wanaanza na maelezo mengi then wanamalizia kuuliza tunaomba kujua kama ni kweli au hapana? Nisingekutendea haki kama title ingekuwa swali maelezo kwani akina King'asti wangeanza kusema vp bro mbona hueleweki?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom