Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Kwanza pole

Mwanamke mpaka amekubali kuishi na wewe Kuna namna fulani tu ameona atafaidika, yani ipo namna anafaidika, iwe fedha, umaarufu, usalama, show Kali yani kivyovyote vile Kuna namna tu ameona atafaidika kwakua na wewe

Mwanaume yeye mwanamke amemwelewa tu iwe sura au tako, inakuwa imeisha hiyo anamuoa huyo mwanamke, hata kama hana kazi, hata kama sio maarufu, hatakama hatonufaikia kivyovyote vile ilimladi tu amempenda watazaa watoto mambo yataenda

Mwanamke roho itamuua sana kutokana na ukweli kwamba wewe mwanaume upo tu nyumbani unakula, unavaa, unakunya yani umekaa alafu yeye ndio anavuja jasho, aisee hiki kitu mwanamke kinamkeleketa sana roho yake sanaaa, na hiyo ndio maana halisi ya kauli maarufu kwamba "Wanawake ni wabinafsi"

Automatically saizi yeye ndio anajiona baba mwenye nyumba kwasabab anavuja jasho mchana kutwa usiku anakukuta wewe na mtoto mpo tu sebuleni mnachekacheka, nan ni mke hapo mkuu?

Kwahiyo ukiteteleka kiuchumi sio kwamba mwanamke kabadilika hapana ila ndio walivyo yaani hawawezi kuvumilia ile hali ya wewe umekaa tu nyumbani alafu yeye avuje jasho, hawawezi.

Sasa kufidia hizo hasira na makasiriko ambayo yamemjaa kifuani na anashindwa kukuchana ndio anakupa kazi za kipumbavu pumbavu ili tu uteseke ndio angalau roho yake ilizike, yani hii ni nature mkuu.

Hapo ni mawili tu mkuu, utafute mishe au mtimue vinginevyo utapiga huyo mpaka uue mtoto wa watu wakufunge jela mwanao abaki yatima, na ukimpiga ataona ni kama umeibishia serikali hivi, si unajua kinachotokeaga ukiibishia serikali??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ulilikaribisha mwenyewe ulipo oa mchaga wa Vunjo. Mimi huwa nawauliza Sana vijana.
Kwenu hakuna warembo mpaka mkaoe kwa watu?
Ukiwa msambaa, oa msambaa mwenzio hata mbondei, mdigo na mzigua usiguse.
Ukiwa mpare wa usangi, kaoe usangi achana na dada zetu wa Same.
Usioe kwa sababu ya tako. Oa asiye na yako lkn mwenye busara.
Wenye mijitako wako tele Dar. Unajipigia mwenye tako mchana jioni Benet na wife flat screen.
mkuu me ni wa rombo mashati hapa hadi vunjo siyo umbali mrefu ki hivyo pia naye ni mchaga mwenzangu
 
Kwanza pole

Mwanamke mpaka amekubali kuishi na wewe Kuna namna fulani tu ameona atafaidika, yani ipo namna anafaidika, iwe fedha, umaarufu, usalama, show Kali yani kivyovyote vile Kuna namna tu ameona atafaidika kwakua na wewe

Mwanaume yeye mwanamke amemwelewa tu iwe sura au tako, inakuwa imeisha hiyo anamuoa huyo mwanamke, hata kama hana kazi, hata kama sio maarufu, hatakama hatonufaikia kivyovyote vile ilimladi tu amempenda watazaa watoto mambo yataenda

Mwanamke roho itamuua sana kutokana na ukweli kwamba wewe mwanaume upo tu nyumbani unakula, unavaa, unakunya yani umekaa alafu yeye ndio anavuja jasho, aisee hiki kitu mwanamke kinamkeleketa sana roho yake sanaaa, na hiyo ndio maana halisi ya kauli maarufu kwamba "Wanawake ni wabinafsi"

Automatically saizi yeye ndio anajiona baba mwenye nyumba kwasabab anavuja jasho mchana kutwa usiku anakukuta wewe na mtoto mpo tu sebuleni mnachekacheka, nan ni mke hapo mkuu?

Kwahiyo ukiteteleka kiuchumi sio kwamba mwanamke kabadilika hapana ila ndio walivyo yaani hawawezi kuvumilia ile hali ya wewe umekaa tu nyumbani alafu yeye avuje jasho, hawawezi.

Sasa kufidia hizo hasira na makasiriko ambayo yamemjaa kifuani na anashindwa kukuchana ndio anakupa kazi za kipumbavu pumbavu ili tu uteseke ndio angalau roho yake ilizike, yani hii ni nature mkuu.

Hapo ni mawili tu mkuu, utafute mishe au mtimue vinginevyo utapiga huyo mpaka uue mtoto wa watu wakufunge jela mwanao abaki yatima, na ukimpiga ataona ni kama umeibishia serikali hivi, si unajua kinachotokeaga ukiibishia serikali??


Sent using Jamii Forums mobile app
asante mkuu kwa ushauri, huu ni ukweli mchungu natakiwa kuumeza mimi bila kushauriwa na mtu kesho natoka hapa nyumbani nitakuwa natoa huduma za mtoto tuu ndoa imeshanishinda hii
 
asante mkuu kwa ushauri, huu ni ukweli mchungu natakiwa kuumeza mimi bila kushauriwa na mtu kesho natoka hapa nyumbani nitakuwa natoa huduma za mtoto tuu ndoa imeshanishinda hii
All the best mkuu

Kuhusu iyo kazi uliosimamishwa utarud tena au ndio basi tena na vipi kuhusu sabab iliofanya ukasimamishwa isije kuwa ni yakitoto sana ndio maana imemkasirisha wife?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nia yako nimeijua. Unataka watu wenye ''hate'' na wachaga watukane na kusema wachaga siyo kabila

All the best mkuu

Kuhusu iyo kazi uliosimamishwa utarud tena au ndio basi tena na vipi kuhusu sabab iliofanya ukasimamishwa isije kuwa ni yakitoto sana ndio maana imemkasirisha wife?

Sent using Jamii Forums mobile app
sijui kama ni ya kitoto ningeisema hapa ema humu kuna watu wengi watanijua na huwa wanaona ndoa yetu ni mfano hata marafiki wa mke wangu huwa wanatusifia sana
 
sijui kama ni ya kitoto ningeisema hapa ema humu kuna watu wengi watanijua na huwa wanaona ndoa yetu ni mfano hata marafiki wa mke wangu huwa wanatusifia sana
Duuh pole sana mkuu

Kama ni kweli ndoa yenu inavutia watu wengi basi hata yeye atakuwa nakigugumizi kiuvunja ndoa yenu labda mambo anayokufanyia saizi ni hasira tu za kukuona umekuwa mzigo

Tafuta mishe ila isiwe hatarishi sana kiasi cha kugharim afya au usalama wako Kwa kigezo Cha kuokoa ndoa, ikishindikana sana kubali tu aende we anza upya utainuka tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom