Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tatizo ulilikaribisha mwenyewe ulipo oa mchaga wa Vunjo. Mimi huwa nawauliza Sana vijana.
Kwenu hakuna warembo mpaka mkaoe kwa watu?
Ukiwa msambaa, oa msambaa mwenzio hata mbondei, mdigo na mzigua usiguse.
Ukiwa mpare wa usangi, kaoe usangi achana na dada zetu wa Same.
Usioe kwa sababu ya tako. Oa asiye na yako lkn mwenye busara.
Wenye mijitako wako tele Dar. Unajipigia mwenye tako mchana jioni Benet na wife flat screen.
Vijana Maneno Kama haya hawatakiwi kuskia, wanataka kina kajala type
 
Kwanza pole

Mwanamke mpaka amekubali kuishi na wewe Kuna namna fulani tu ameona atafaidika, yani ipo namna anafaidika, iwe fedha, umaarufu, usalama, show Kali yani kivyovyote vile Kuna namna tu ameona atafaidika kwakua na wewe

Mwanaume yeye mwanamke amemwelewa tu iwe sura au tako, inakuwa imeisha hiyo anamuoa huyo mwanamke, hata kama hana kazi, hata kama sio maarufu, hatakama hatonufaikia kivyovyote vile ilimladi tu amempenda watazaa watoto mambo yataenda

Mwanamke roho itamuua sana kutokana na ukweli kwamba wewe mwanaume upo tu nyumbani unakula, unavaa, unakunya yani umekaa alafu yeye ndio anavuja jasho, aisee hiki kitu mwanamke kinamkeleketa sana roho yake sanaaa, na hiyo ndio maana halisi ya kauli maarufu kwamba "Wanawake ni wabinafsi"

Automatically saizi yeye ndio anajiona baba mwenye nyumba kwasabab anavuja jasho mchana kutwa usiku anakukuta wewe na mtoto mpo tu sebuleni mnachekacheka, nan ni mke hapo mkuu?

Kwahiyo ukiteteleka kiuchumi sio kwamba mwanamke kabadilika hapana ila ndio walivyo yaani hawawezi kuvumilia ile hali ya wewe umekaa tu nyumbani alafu yeye avuje jasho, hawawezi.

Sasa kufidia hizo hasira na makasiriko ambayo yamemjaa kifuani na anashindwa kukuchana ndio anakupa kazi za kipumbavu pumbavu ili tu uteseke ndio angalau roho yake ilizike, yani hii ni nature mkuu.

Hapo ni mawili tu mkuu, utafute mishe au mtimue vinginevyo utapiga huyo mpaka uue mtoto wa watu wakufunge jela mwanao abaki yatima, na ukimpiga ataona ni kama umeibishia serikali hivi, si unajua kinachotokeaga ukiibishia serikali??


Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea UKWELI mchungu Sana
 
Kuondoka sio solution mkuu. Cha msingi kaa nae umwambie kama mume kila mtu abaki na majukumu yake. Wewe kama mume utaendelea kuprovide matumizi na yeye kama mke aendelee na majukumu yake haijalishi unashinda nyumbani au vipi as long as matumizi unatoa.
Na inabidi usimame kama mume kipindi hiki maana ukitetereka kidogo tuu utaonja joto ya jiwe mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Matumiz anayatoa wapi trudie wkt keshakwambia kazi Hana anashinda TU nyumbn?
 
asante mkuu kwa ushauri, huu ni ukweli mchungu natakiwa kuumeza mimi bila kushauriwa na mtu kesho natoka hapa nyumbani nitakuwa natoa huduma za mtoto tuu ndoa imeshanishinda hii
Duuuh aisee pole mkuu najarb kuimagine maumivu yako pole sana..
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Ni halali ndio,maana kazi hizohizo huwa anakufanyia wewe pia unapoenda kazini(kabla hujaacha kazi).Nyie ni mwili mmoja so hamna shida we fanya tu
 
Kwanza pole

Mwanamke mpaka amekubali kuishi na wewe Kuna namna fulani tu ameona atafaidika, yani ipo namna anafaidika, iwe fedha, umaarufu, usalama, show Kali yani kivyovyote vile Kuna namna tu ameona atafaidika kwakua na wewe

Mwanaume yeye mwanamke amemwelewa tu iwe sura au tako, inakuwa imeisha hiyo anamuoa huyo mwanamke, hata kama hana kazi, hata kama sio maarufu, hatakama hatonufaikia kivyovyote vile ilimladi tu amempenda watazaa watoto mambo yataenda

Mwanamke roho itamuua sana kutokana na ukweli kwamba wewe mwanaume upo tu nyumbani unakula, unavaa, unakunya yani umekaa alafu yeye ndio anavuja jasho, aisee hiki kitu mwanamke kinamkeleketa sana roho yake sanaaa, na hiyo ndio maana halisi ya kauli maarufu kwamba "Wanawake ni wabinafsi"

Automatically saizi yeye ndio anajiona baba mwenye nyumba kwasabab anavuja jasho mchana kutwa usiku anakukuta wewe na mtoto mpo tu sebuleni mnachekacheka, nan ni mke hapo mkuu?

Kwahiyo ukiteteleka kiuchumi sio kwamba mwanamke kabadilika hapana ila ndio walivyo yaani hawawezi kuvumilia ile hali ya wewe umekaa tu nyumbani alafu yeye avuje jasho, hawawezi.

Sasa kufidia hizo hasira na makasiriko ambayo yamemjaa kifuani na anashindwa kukuchana ndio anakupa kazi za kipumbavu pumbavu ili tu uteseke ndio angalau roho yake ilizike, yani hii ni nature mkuu.

Hapo ni mawili tu mkuu, utafute mishe au mtimue vinginevyo utapiga huyo mpaka uue mtoto wa watu wakufunge jela mwanao abaki yatima, na ukimpiga ataona ni kama umeibishia serikali hivi, si unajua kinachotokeaga ukiibishia serikali??


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu anamgegeda mkeo, na kutokana huna kazi kwahiyo heshima imeshuka anaona humfai kwa lolote, temana naye mapema mkuu.
 
Back
Top Bottom