BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
Hamna cha Zitto kukumbukwa ni ufisidi ktk fikra zetu watanzania. Nadhani ripoti ya kamati ya bunge ya RICHMOND ilichofanya licha ya kuyaona na kuyasema yaliyojiri katika ule mkataba. Pia ilijaribu na ikasema nn kifanyike ili adha iliyotupata isitokee. Je TANESCO imefanya hata moja ya yale yaliyopendekezwa? Kunani mpaka tuone kununua mitamdo ya Dowans ndio suluhisho la matatizo ya umeme Tanzania. Tuache siasa uchwara turudi kwenye misingi halisi ya kutatua matatizo na sio kwenda kimkatomkato. Hatutafika
Ahsante sana Mkuu, Kununua au kuipigia debe ile mitambo ya Richmond/Dowans ambayo iliingizwa nchini kifisadi nao ni ufisadi wa aina yake. Kwanini huyu papa fisadi Rostam tumzawadie tena hata baada ya kuiibia Serikali mchana kweupe!?