Hivi wakuu zangu niulize kitu hapa.. Huyu Dr, Rashid ana Utaalam gani (technocal)ambao leo wananchi wengi wanautumia kuunga mkono ushauri wake ktk kununua mitambo ya Dowans!.. Ni kwa sababu gani haswa! kwa sababu alikuwa gavana wa Bank Kuu? - Je.. maneno hayo angeyasema marehemu Balali (Mungu amrehemu) bado mngekuwa na maamuzi hayo hayo au kuna tofauti kati ya fisadi mmoja kuingia mwingine!.
Wakuu zangu kinachofanyika hapa ni uharamia mtupu! nasikitika sana kusema au kukubali kwamba NCHI imemshinda JK! na hakika hatuna viongozi kabisa Tanzania kwani huyu Dr. Rashid kwa yale alokwisha yafanya sii mtu wa kujadiliwa kabisa inapofikia uongozi bora hata iwe ktk Utaalam..
Wakuu zangu kinachofanyika hapa ni uharamia mtupu! nasikitika sana kusema au kukubali kwamba NCHI imemshinda JK! na hakika hatuna viongozi kabisa Tanzania kwani huyu Dr. Rashid kwa yale alokwisha yafanya sii mtu wa kujadiliwa kabisa inapofikia uongozi bora hata iwe ktk Utaalam..