ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,019
- 7,224
lengo la mwanzo kabisa wakati mgomo unaanza ni kuwaondoa viongozi wa wizara ya afya na walitajwa kwa majina(jitahidi kuwa na kumbukumbu)
mwangosi na mwanahalisi wametajwa kama sehemu au kumbukumbu ya unyama aliofanyiwa ulimboka.
Kuhusu Mwangosi na Mwanahalisi hujajibu swali, swali siyo kwanini wametajwa swali ni time factor, why now? why not yesterday or last week? why not tomorrow or next week? Kwa hiyo jumuiya ya madaktari inaendeshwa na matukio, baada ya interns kulalamika kusalitiwa ndipo wakakumbuka kumpa pole Mwangosi na kuikemea serikali kulifunga Mwanahalisi.