Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Mods mnamapenzi sana uzi wangu mmeunganisha na uzi mwingine mnataka wote tusifie Chadema, haya Chadema Oyee wamefanya vizuri.
Kuna haja gani ya kuwa na threads kibao zinazoongelea jambo moja?? twende tutiririke hapa, ccm mmeingiza negative kwenye idadi ya kata mlizokuwa mnaongoza na bado mnajisifia, kweli!??, inaonyesha mlikata tamaa mapema na ndio maana ya vurugu zile, shahada feki zile, vipigo kwa wananchi vile, rushwa ile na ubwabwa ule,!!? you are doomed ccm!