Tafsiri na uchambuzi wa matokeo ya udiwani

hivi,kati ya CCM waliopoteza viti vyao vya udiwani na CHADEMA walioongeza viti vyao vya udiwani ni nani mshindi hapo!
 
Hii imetokana na CDM kuchukuwa kata mbili zilizokuwa mikononi mwa chama cha magamba, na kuzirejesha katika himaya yao mbili nyingine.

Katika chaguzi zozote, kila unapokamata kiti kutoka kwa mpinzani wako ni ushindi mkubwa na hakika unampa meseji kwamba mwisho wake ndo unaanza, aghlab polepole.

Hongereni CDM.
 
Jiulize hizo kata zote zilizochukuliwa na CHADEMA zilikuwa chini ya chama gani!!? pia angalia katika maeneo hayo rate ya ushindani ilikuaje!?? je ni aibu zaidi kwa nani, ccm iliyopo madarakani miaka 50 inapokwa kata 5 na chama kimoja cha upinzani ambachokina miaka 20 tu. ccm pamoja na ghilba na vurugu walizozipanga, wakazifadhili na kutekeleza bado CHADEMA wamefanikiwa kupoka kata zote hizo 5. mjinga huenda mbele hatua moja na kurudi nyuma hatua mbili na kujipongeza. hesabu kata zilizokuwa chini ya ccm kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi then utajua nani kashinda, ingawa inahitaji akili pia kulitambua hilo

Mkuu hayo maneno ya kujifariji na kujiliwaza Watanzania bado hawajawakubali Chadema huo ndio ukweli.
 
Jiulize hizo kata zote zilizochukuliwa na CHADEMA zilikuwa chini ya chama gani!!? pia angalia katika maeneo hayo rate ya ushindani ilikuaje!?? je ni aibu zaidi kwa nani, ccm iliyopo madarakani miaka 50 inapokwa kata 5 na chama kimoja cha upinzani ambachokina miaka 20 tu. ccm pamoja na ghilba na vurugu walizozipanga, wakazifadhili na kutekeleza bado CHADEMA wamefanikiwa kupoka kata zote hizo 5. mjinga huenda mbele hatua moja na kurudi nyuma hatua mbili na kujipongeza. hesabu kata zilizokuwa chini ya ccm kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi then utajua nani kashinda, ingawa inahitaji akili pia kulitambua hilo

Tatizo linalotuhuzunisha mashabiki wa CDM ni matarajio yetu ya kuchukua nchi mwaka 2015 tulitaraji tungeonyesha ushindani kidogo kwenye uchaguzi huu wa madiwani, lakini cha kushangaza tumeshindwa hata kupata asilimia 30. Tusipoangalia tutakuja na sababu hizi hizi mwaka 2015. Tuangalie strategies zetu, tupange mambo kimya kimya.!!
 
Hamkosi sababu andaeni mapema za kutoa 2015[/QU
Leo Ritz kawaanzishieni uzi mtashinda na kukesha hapa, unapofurahia faida angalia na hasara pia, CHADEMA imeongeza idadi ya kata kwa kuchukua zilizokuwa chini ya ccm, ni ushindi kwa CHADEMA na ni loss kwa ccm, ila ni lazima ccm mshangilie kuwa rafu, vitisho, vipigo kwa wananchi na rushwa zenu zimewasaidia, ukweli unasimamaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Shule ya kata haikukufundisha hesabu au wewe ni wa Visiwa vya Zimbabwe?

Kutoka viti viwili mpaka vitano ni ongezeko la asilimia 60.

3/5 x 100 = 60%

CCM, walikuwa na viti 27 wamenyang'anywa vitatu na hilo ni anguko kwa asilimia 11.1

3/27 x 100 = 11.1%

Bado huelewi?

Mkuu that is too big for them, hawawezi kufanya hesabu hizo, wao wanaangalia kuishinda CHADEMA, wanaenda mbele hatua mbili wanarudi nyuma hatua tatu na kujipongeza. hizo ndo akili za ccm zilipoishia
 
Hadi dakika hii matokeo yanaonyesha kwamba katika Kata 29, CHADEMA wameshinda katika kata 5 and TLP (1) na CCM kushinda katika kata zilizobaki.

Kwa muono wa karibu unaweza ukadhani kwamba CHADEMA wamepoteza sana katika uchaguzi huu. Hata hivyo ukiyachunguza matokeo haya kwa ukaribu utaona kwamba CHADEMA wamepata mafanikio makubwa na CCM wametelemka.

Tukumbuke kwamba CHADEMA walikuwa na kata mbili za kuzilinda katika uchaguzi huu ambazo ni Rombo na Mvomero. Kata hizi wamefanikiwa kuzilinda na kuongeza zingine tatu, ambazo ni Mlangila (Ludewa), Ipole na Daraja Mbili (zote hizi zilikuwa za CCM). Kwa hiyo wamelinda kata zao na kuzipokonya zingine tatu kutoka mikononi mwa CCM.

Na yote hii ni ndani ya miezi 24 tu tangu uchaguzi mkuu ufanyike. Kwa hiyo kimehesabu CCM wameshuka kwa 11.1% na CHADEMA wamepanda kwa 60%! So, CDM keep up the momentum!

Maneno ya kujifariji tu hayo, mwanzoni yasiyokuwa yanasemwa siyo hayo. kweli mfa maji haachi kutapatapa. CCM noma wewe.
 
Nyie watu hebu tumieni akili,ninyi ni wendawazimu wa wapi?mnaangalia mlichorudisha mnasahau mmepoza ngapi! Hivi mnajua mnakoelekea?safari gani hiyo ya kurudi kinyumenyume huku mkishangilia...hebu achane ushabiki wa kupuuzi huku mkiangamia...m4c imeanza lini tz? Mmejiuliza kwa nini mmepoteza kata zenu..huu ni mwanzo,m4c imepita mkoa mmoja tu imewapotezea uelekeo....subirini kazi ianze wapuuzi ninyi mtaipata habari yenu
 
Mods mnamapenzi sana uzi wangu mmeunganisha na uzi mwingine mnataka wote tusifie Chadema, haya Chadema Oyee wamefanya vizuri.
 
Hadi dakika hii matokeo yanaonyesha kwamba katika Kata 29, CHADEMA wameshinda katika kata 5 and TLP (1) na CCM kushinda katika kata zilizobaki.

Kwa muono wa karibu unaweza ukadhani kwamba CHADEMA wamepoteza sana katika uchaguzi huu. Hata hivyo ukiyachunguza matokeo haya kwa ukaribu utaona kwamba CHADEMA wamepata mafanikio makubwa na CCM wametelemka.

Tukumbuke kwamba CHADEMA walikuwa na kata mbili za kuzilinda katika uchaguzi huu ambazo ni Rombo na Mvomero. Kata hizi wamefanikiwa kuzilinda na kuongeza zingine tatu, ambazo ni Mlangila (Ludewa), Ipole na Daraja Mbili (zote hizi zilikuwa za CCM). Kwa hiyo wamelinda kata zao na kuzipokonya zingine tatu kutoka mikononi mwa CCM.

Na yote hii ni ndani ya miezi 24 tu tangu uchaguzi mkuu ufanyike. Kwa hiyo kimehesabu CCM wameshuka kwa 11.1% na CHADEMA wamepanda kwa 60%! So, CDM keep up the momentum!

Kata zilizobaki ngapi mkuu weka idadi kama uliyoweka kwa Chadema na TLP.
 
mimi ni mwanachadema kwa jinsi tulivyowekeza hatukusthili kupata viti vichache,tukubali kuwa tuna kazi kubwa ya kufanya mbele yetu.
 
Back
Top Bottom