CHADEMA kususia chaguzi ndogo ni kuwanyima haki wananchi na wanachama hai wa CHADEMA

osieee

JF-Expert Member
Dec 16, 2015
222
232
Wasaalam, jana kulikua kuna zoezi la chaguzi ndogo za madiwani katika kata mbalimbali zenye uhitaji huo wa kikatiba kwa wakati huu. Lakini Chadema kususia chaguzi hizi madhara yake yamekua yakionekana waziwazi kwan ,kampeni hazivutii hata kidogo tena na hata idadi ya watu wanaojitokeza kupiga kura ni ndogo sana.

Case study ni katika manispaa ya Musoma ndani ya kata ya Mshikamano ambapo pia jana kulikua na zoezi lq uchaguzi mdogo wa diwani. Lakini kilichotokea ni kwamba idadi ya wapiga kura ilikua ndogo sana yan sana ,hadi ITV wakaipa coverage hii habari kwa kichwa cha MWITIKIO MDOGO WA WAPIGA KURA KATA YA MSHIKAMANO MUSOMA MJINI,

Ikumbukwe kuwa Kata ya mshikamano ni ngome kuu ya Chadema ndan ya mkoa wa Mara na ndio maana hata ofisi za chadema mkoa wa Mara zipo kata hiyohiyo .hivyo chadema wana wafuasi wengi sana katika eneo hili.

Maoni yangu ni kuwa imefikia wakati muafaka sasa Chadema kukubali kushiriki hizi chaguzi bila hayo mahitaji wanayodai kwani kama ipo ipo tu.mbona mara kibao CHADEMA IMESHINDA VITI KIBAO NA TUME HIYO HIYO.

WANANCHI WA MSHIKAMANO NA KATA ZINGINEZO TANZANIA ZINAZOFANYA CHAGUZI HIZI NDOGO WANALIA KWA KUKOSA VIONGOZI MAKINI KUTOKA CHADEMA ......VIVA CHADEMA VIVA TANGANYIKA.
 
Kama hauna maslahi kwa viongozi wa hightable Chadema hawajisumbui kabisa, refer case ya 2019, waligoma uchaguzi wa serikali za mitaa, ila wakakubali uchaguzi mkuu,
Leo hii afe mbunge wa jimbo la Lissu/Lema (Siombei hii)
Naweza bet 1M kuwa chadema watashiriki huo uchaguzi
 
Chadema ni watu wachache wenye nguvu ndani yao,ikitokea kuwa Mbowe anatakiwa kugombea pale Hai,atagombea tuu.
Waambie watu wa Mshikamano waache kuisujudia cdm sababu chadema haina maslahi yeyote musoma zaidi ya wanamusoma kujipendekeza.
 
Kama hauna maslahi kwa viongozi wa hightable Chadema hawajisumbui kabisa, refer case ya 2019, waligoma uchaguzi wa serikali za mitaa, ila wakakubali uchaguzi mkuu,
Leo hii afe mbunge wa jimbo la Lissu/Lema (Siombei hii)
Naweza bet 1M kuwa chadema watashiriki huo uchaguzi
Unaijua kwanini walisusia uchaguzi wa 2019 au umejiandikia tu.
 
Kama hauna maslahi kwa viongozi wa hightable Chadema hawajisumbui kabisa, refer case ya 2019, waligoma uchaguzi wa serikali za mitaa, ila wakakubali uchaguzi mkuu,
Leo hii afe mbunge wa jimbo la Lissu/Lema (Siombei hii)
Naweza bet 1M kuwa chadema watashiriki huo uchaguzi
Ndio ulichobakiza kuombea watu wafe. Tatizo mnadhani CHADEMA Wana tamaa Kama nyie CCM .
 
Ile ilikuwa ni twist tu. CHADEMA ni akili kubwa wanajua wanachokifanya.
Hatushiriki uchaguzi kwa maana katiba ni mbovu,tutashiriki uchaguzi na katiba kwa katiba ile ile ,hivi bado unaamini kuna chama hapo?
 
Back
Top Bottom