...wajaribu kumsimamisha Mkapa Nyerere.hata mkimismamisha Mizengo Pinda, CCM kushinda arusha ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Leteni yeyote yule tumuaibishe shetani.
...wajaribu kumsimamisha Mkapa Nyerere.hata mkimismamisha Mizengo Pinda, CCM kushinda arusha ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Leteni yeyote yule tumuaibishe shetani.
chama cha mapinduzi kimsimamishe ndg abrahaman kinana katika uchaguzi ujao wa arusha mjini. Anakubalika sana arusha maana ndio mbunge pekee aliyeifanyia arusha maendeleo kipindi cha nyuma . Pia upeo wake wa elimu na kusimamia mambo ni mkubwa sana .
Anafaa,
anauwezo,
anakubalika.
Chama cha mapinduzi kimsimamishe ndg Abrahaman kinana katika uchaguzi ujao wa Arusha mjini. anakubalika sana Arusha maana ndio mbunge pekee aliyeifanyia Arusha maendeleo kipindi cha nyuma . pia upeo wake wa elimu na kusimamia mambo ni mkubwa sana .
ANAFAA,
ANAUWEZO,
ANAKUBALIKA.
Yaani umeshatuona watu wa Arusha wa kuongozwa na wakimbizi waa kisomali,bona dharau chalii yangu??Chama cha mapinduzi kimsimamishe ndg Abrahaman kinana katika uchaguzi ujao wa Arusha mjini. anakubalika sana Arusha maana ndio mbunge pekee aliyeifanyia Arusha maendeleo kipindi cha nyuma . pia upeo wake wa elimu na kusimamia mambo ni mkubwa sana .
ANAFAA,
ANAUWEZO,
ANAKUBALIKA.
Chama cha mapinduzi kimsimamishe ndg Abrahaman kinana katika uchaguzi ujao wa Arusha mjini. anakubalika sana Arusha maana ndio mbunge pekee aliyeifanyia Arusha maendeleo kipindi cha nyuma . pia upeo wake wa elimu na kusimamia mambo ni mkubwa sana .
ANAFAA,
ANAUWEZO,
ANAKUBALIKA.
Hakuna mbunge yoyote aliyewafanyia watu wa Arusha jambo la maana kama Lema. Hakuna! Lema amewarudishia watu wa Arusha uhuru, utu, na nguvu ya kuamua maisha yao yawe vipi! Kinana anaweza akawa ameleta material benefits, lakini kama hauko huru nyumba, barabara itakusaidia nini? in my view Kinana is nothing more than a disguised fisadi.
Mlezi wa chama mkoa wa Arusha, si ndiye huyu hapa au labda nakosea? Kama ni huyu alishapoteza mvuto kama chama chake hawezi kusaidia lolote. Bahati mbaya siku hizi ccm ndiye wanadhani ana busara, hivyo humtanguliza kila mahali
View attachment 51091
Al-shabab, mwizi sana huyu mtu katuibia sana meno ya tembo huyo jamaa yenu magamba
Kama ni wizi utathubutu kumlinganganisha na lema pamoja na wale binamu zake waliouliwa watoto wa kileo ? Acheni siasa chafu . Sisi tunataka maendeleo mambo ya kufata mkumbo hatuitaji.