Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Kama ccm wanataka kushinda jimbo la Arusha mjini hawanabudi kulifuta au waliunganishe na jimbo la arumeru magharibi vinginevyo hesabuni maumivu :kev:
Tatizo la CCM si mtu wa kugombea bali ni Chama Hata Dr slaa akaamua kurudi CCM na akagombea bado atakosa, tatizo si watu wa kugombeatatizo ni Chama kimechokwa watu hawataki kusikia CCM hata mkimshusha Yesu aje agombeaa kwa tiketi ya CCM bado atashindwa tu
Tayari mmeanza kununuliwa mapemaaaa but tutapambana nanyi sana je wewe unaishi hapa Arusha au umetumwa tu. Kesho njoo viwanja vya NMCWatu wa arusha tumechoka maandamano . Tunataka mtu atakaetusaidia kupata maendeleo na kuipaisha arusha katika nyanja zote za uchumi. Mambo ya kutumiwa kama mfuko wa rambo hatutaki. utalii wa mikutano umeshuka sana hapa Arusha mambo ya ushabiki hatuhitaji .