Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
Watu wa arusha tumechoka maandamano . Tunataka mtu atakaetusaidia kupata maendeleo na kuipaisha arusha katika nyanja zote za uchumi. Mambo ya kutumiwa kama mfuko wa rambo hatutaki. utalii wa mikutano umeshuka sana hapa Arusha mambo ya ushabiki hatuhitaji .
Wewe unatumiwa na magamba mbaya zaidi unatumika kama ..... Ikitumika inatupwa haifaikuonekana pawatu mkuu rambo inatumika zaidi ya 1