Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Ananesa wapi? Katika wabunge wote, huyu ndiye kilaza number moja! Hana cha kuongelea? Kila siku lazima amtaje kusaga?
Nimependa kujembe alichopigwa na wazir, aache ujinga wa kuimbana! Wanaume wanapeana live, siyo kupigana majungu kwenye nyimbo
Kwenye vilaza hapo inategemea na mtizamo wa mtu. Vipi kuhusu Tyson, au akiwa wa magamba hasemwi?? hili la wanamuziki nadhani kama style ya mauzo na matamasha ya muziki wa kitanzania huyajui, ni ngumu sana kumueewa Sugu. Wenye fani hiyo tunamuelewa sana