Sugu Awaka, Amwaga Cheche Bungeni!

Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui.
Ff, your problem is that, u never acknowledge what cdm's mps are doing and i know you will never. But the truth remains to be the truth.
 
Leo bungeni nimemshuhudia mh Joseph Mbilinyi aka Mr Sugu akiongea kwa jaziba kali huku akimtupia makombora Mh Nchimbi kwamba utendaji wake ni mbovu, na kutolea mfano uteuzi wa wajumbe wa kutafuta vazi la taifa kuwa uteuzi huo umefuata ushikaji neno ambalo mwenyekiti Mh Simbachawene alimtaka kuliondoa lakini sugu aliendelea kukomaa nalo, mh Mchimbi katika kujibu hoja mbalimbali alijielekeza sana kwa kujibu makombora ya Sugu katika hali ilionishutua ni pale Nchimbi alipomjibu Sugu kuwa kwamwe uteuzi wa wajumbe wa vazi la taifa umezingatia umahiri na kuwaweka wazi baadhi ya wajumbe hao na mwisho aliishia kumshutumu sugu kwa kutosamehe ugomvi au uhasama ambao alikiri kuwa unaendelea na hivyo kwa hali ya kawaida si uungwana sana mwisho kabisa alimsihi wasameheane, .Naomba kujuzwa kwa anayefahamu ni bifu gani au ni lile la Maralia haikubariki nini?
 
Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, leo amemwaga cheche bungeni kwa kuiwakia serikali kuhusu vurugu za wamachinga Mbeya hivyo kutaka tume huru iundwe ili kuchunguza kadhia hiyo.

Mhe. Mbilinyi ametoa cheche hizo bungeni mjini Dodoma wakati wa kujadili Tanzania kuridhia mkataba wa kimataifa wa haki za vijana wa Afrika.

kufuatia vurugu hizo, Sugu amesema mgambo walishindwa, polisi walishindwa, FFU walishindwa na jeshi pia lilishindwa, lakini wakazi wa Mbeya ndio wanaomjua ni nani alituliza vurugu zile!.(duh hadi jeshi lilishindwa,bila shaka nchi ilitekwa,kauli imejaa uongo na majigambo ndo tatizo la wabunge wa magwanda)

Sugu alisema kwa hasira kuwa kijana msukuma guta John Bosco aliuwawa kwa risasi huku diwani wa CCM akidai yeye ni nesi na siku hiyo alijuwa zamu, hakuna mtu yoyote aliyeumia wala kufariki!. Ametoa RIP kwa kijana huyo na kuomba matokeo ya tume tume yasisitize fidia kwa wahanga wa vurugu hizo!.

Sugu ameitaka serikali kutowanyanyasa tena machinga bali waachiwe kufanya shughuli zao kwa uhuru kama alivyofanya Satta wa Zambia mpaka hapo serikali itakapo wapatia utaratibu maalum.
hakuna cheche kuna pumba
 
Pia Nchimbi aliomba mitandao inayotumiwa na watanzania - Twitter, FB na Jamiiforums, watumiaji wawe wastaarabu katika michango yao na iwe inalenga maadili ya kitanzania.
 
Ananesa wapi? Katika wabunge wote, huyu ndiye kilaza number moja! Hana cha kuongelea? Kila siku lazima amtaje kusaga?
Nimependa kujembe alichopigwa na wazir, aache ujinga wa kuimbana! Wanaume wanapeana live, siyo kupigana majungu kwenye nyimbo

umetumwaa eeh.. Hiki ni kisiki cha mpingo.. Zidisha juhudi jombaaa,on,on..
 
Leo bungeni nimemshuhudia mh Joseph Mbilinyi aka Mr Sugu akiongea kwa jaziba kali huku akimtupia makombora Mh Nchimbi kwamba utendaji wake ni mbovu, na kutolea mfano uteuzi wa wajumbe wa kutafuta vazi la taifa kuwa uteuzi huo umefuata ushikaji neno ambalo mwenyekiti Mh Simbachawene alimtaka kuliondoa lakini sugu aliendelea kukomaa nalo, mh Mchimbi katika kujibu hoja mbalimbali alijielekeza sana kwa kujibu makombora ya Sugu katika hali ilionishutua ni pale Nchimbi alipomjibu Sugu kuwa kwamwe uteuzi wa wajumbe wa vazi la taifa umezingatia umahiri na kuwaweka wazi baadhi ya wajumbe hao na mwisho aliishia kumshutumu sugu kwa kutosamehe ugomvi au uhasama ambao alikiri kuwa unaendelea na hivyo kwa hali ya kawaida si uungwana sana mwisho kabisa alimsihi wasameheane, .Naomba kujuzwa kwa anayefahamu ni bifu gani au ni lile la Maralia haikubariki nini?

tafuta albam ya Antivirus usikie upande wa Sugu na kesho ukipata wasaa msikilize Kibonde kwenye jahazi(au dau?) ili usikie upande wa Wafu FM maana ni yeye pekee walau ana ujasiri wa kujibu wengine wote ni wale sugu amewachana ktk vinega...watangazaji wanaliwa kama mboga.
 
Ila sugu ni noma! Napenda sana style yake ya kusimamia anachokiamini...irrespective watu wengine au wabunge wenzake watamwonaje! Big up sugu!!!! Kila la kheri kaka yetu na mungu akutangulie!!!!
 
Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui.


Bahati nzuri hakua kwenye contest ya kuongea, hataivyo alieleweka ndo maana alijibiwa, usiwe kama Mh wa Mizengo
Pinda badala ya kuzungumza tatizo la madaktari watalishughulikiaje, yeye anaanza kumtafuta mchawi, eti anaanza kumchambua mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari. Grow up u people, things are changing fast around here.
 
hahahaha.., Nchimbi kaomba wasameheane?

Kusaga nae aliwahi mtuma Mbowe na Shigongo kwa Sugu ili wasahau yaliyopita

wanahofu na harakati zinazoenezwa na Sugu, wapi Ruge wapi J.Makamba
 
inaonyesha hawa watu wanatumia bungu kuwasilisha maugomvi yao- rearly unprofessional- they should just find another forum for that- ur in the parliament because of our votes- then represent what we want not attack on the people who were once ur friend- ur personal issues- should not be ours! this is ridiculous- and only happening in TANZANIA
 
Mbeya ni nchi Sugu ni rais,Nchimbi kaa mbali na Sugu,Mh Sugu ni mpigania haki na utu wa mwanadamu,subiri 2015 tuje tukuong'oe hapo Songea mjini mana mwaka 2010 ulimchakachua Advocate Mbogolo wa Chadema.
 
Bahati nzuri hakua kwenye contest ya kuongea, hataivyo alieleweka ndo maana alijibiwa, usiwe kama Mh wa Mizengo
Pinda badala ya kuzungumza tatizo la madaktari watalishughulikiaje, yeye anaanza kumtafuta mchawi, eti anaanza kumchambua mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari. Grow up u people, things are changing fast around here.

Mbona na yeye Sugu kuna mtu alikuwa anamchambua tena karibu kila anapopata muda wa kuchangia Wizara ya Michezo...
 
inaonyesha hawa watu wanatumia bungu kuwasilisha maugomvi yao- rearly unprofessional- they should just find another forum for that- ur in the parliament because of our votes- then represent what we want not attack on the people who were once ur friend- ur personal issues- should not be ours! this is ridiculous- and only happening in TANZANIA

To make it funny, people with ur common sense are only found in TZ too, Nyani haoni kundule, ease up buddy.
 
Mh ile Ant Virus ni balaa. ila nilipita mbeya juzi juzi hapa aisee ndo inayopendwa kila kona. Ila leo Sgu amesema hiyo kampeni ya Vinega imeanza kuwasaidia wasanii waliokuwa wananyonywa na kuanza kupata malipo mazuri kiasi.
 
Back
Top Bottom