Sugu Awaka, Amwaga Cheche Bungeni!

anadai kamati ya vazi la taifa ni makini , hawezi kufanya uteuzi kwa kuangalia nani haelewani na waziri kivuli , kusaga na wengine ni makini viongozi wajenge tabia ya kusamehe

Asemehewe kwa kukosa au ili abaki kwenye kamati? Upuuzi wa mawaziri kama wa rais wao.
 
Pia amesema Nchimbi kaweka " washkaji" zake kwenye kamati ya vazi la taifa,hawana utaalam wowote

MH! Nchimbi naye ana matatizo sana na ni moja ya msiba wa Tz. kazi kulegeza mimacho!!!
A%20S%20embarassed.gif
 
Kijana usiyekuwa na huruma kwa vijana wenzako,huyu Mh(MB) Mwanaharakati Mtetezi wa wanyonge a.k.a Sugu anawatetea wanyonge wewe unaona ka vile anapiga kelele,kuna siku utakuja kumkubali kwa haya mazuri anayoyafanya

Aisee, FaizaFoxy alianza lini kuwa kijana? Zee lililochoka kabisa.
 
Huyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajuiHuyo jamaa nilimsikiliza kama dakika moja hivi nikaona anapiga kelele tu, hata kuongea hajui


Tena ana pepo la ngono ndio maana kwake kila anayeongea anamwona kama anapiga kelele
 
Umesoma btn the line and grasp my wrtings? Nani kakudanganya wachungaji hatuna mavazi Mengine? Wapi nimeandika nafanya kazi serikalini kwa hawa lege lege?
Ha ha ha! Masa, nilimaanisha "Uchungaji" na si mavazi. Pia nilisema kuwa kuna wakati name yako ilikuwa Masanilo without "Rev" and "Fr"pia hapo kwenye kufanya kazi serikalini ni kutokana na hii statement...

Rev Fr Masanilo said:
Halafu itatolewa amri Kila siku ofisi za serikali kuvaa vazi la taifa. Ni ufisadi tu sintovaaa Hilo vazi
Sasa kwanini useme hutolivaa kama hufanyi kazi serikali endapo watalazimishwa kama unavyo project kuwa mtapewa amri?
 
Aliomjibu na kumuelewa ni huyo aliyekuwa anapigana nae vijembe, mwanamme mzima anakwenda kulalama kuhusu ujinga wa nguo. Nguo? Kuna nguo za taifa? Labda magome ya mpapai.
"Kila jambo na wakati wake"
"Hivyo sio vijembe ni ukweli mtupu.Nikiangalia mchakato wa vazi la taifa,nikiangalia sherehe za miaka 50 ya uhuru gharama zilizotumika,nikiangalia kashfa ya fedha za wakandarasi walizolipwa na zile ambazo bado,nikiangalia fedha za ujenzi wa daraja la kigamboni, nikiangalia mchakato wa katiba ulivyoletwa fastafasta na bila hata kujali misingi ya katiba, napata jibu kuwa Kuna fedha za uchaguzi 2015, CCM wanazichanga.
 
Poor Tanzanians, Kiingereza hatujui, kiswahili hatukitaki, lol!
"Were" sounds more proper than "was", but ni kiingereza broken tu hata hippies wanabreak the same way, seuse miye mbongo?
Anyways kiswahili nakitaka sana tu, sema dhumuni humu ni kufikisha ujumbe na si nani mwenye kiinglish kizuri zaidi, hiyo nenda chit chat ama lugha or something lol
 
Bei ya umeme KENYA,UGANDA,RWANDA,BURUNDI zipoje? Then tulinganishe kwa HAKI!!!!
 
mbunge wa mbeya mjini mhe. Joseph mbilinyi a.k.a sugu, leo amemwaga cheche bungeni kwa kuiwakia serikali kuhusu vurugu za wamachinga mbeya hivyo kutaka tume huru iundwe ili kuchunguza kadhia hiyo.


Mhe. Mbilinyi ametoa cheche hizo bungeni mjini dodoma wakati wa kujadili tanzania kuridhia mkataba wa kimataifa wa haki za vijana wa afrika.

Kufuatia vurugu hizo, sugu amesema mgambo walishindwa, polisi walishindwa, ffu walishindwa na jeshi pia lilishindwa, lakini wakazi wa mbeya ndio wanaomjua ni nani alituliza vurugu zile!.

Sugu alisema kwa hasira kuwa kijana msukuma guta john bosco aliuwawa kwa risasi huku diwani wa ccm akidai yeye ni nesi na siku hiyo alijuwa zamu, hakuna mtu yoyote aliyeumia wala kufariki!. Ametoa rip kwa kijana huyo na kuomba matokeo ya tume tume yasisitize fidia kwa wahanga wa vurugu hizo!.

Sugu ameitaka serikali kutowanyanyasa tena machinga bali waachiwe kufanya shughuli zao kwa uhuru kama alivyofanya satta wa zambia mpaka hapo serikali itakapo wapatia utaratibu maalum.

bravo kaka sugu
 
Ccm serikali fyombo fya dola na kikwete wampongeze sugu kwa kuwatuliza wana mbeya na waige skills zake kwani wote niliowataja ni watumia mabavu bila akili. Cdm oyeee! Cdm oyeeeee!
 
Kweli Tanzania tuna tabu sana,badala ya Bunge kuwa sehemu ya kuwasilisha na kutatua matatizo ya wananchi inageuka sehemu ya kuchambuana na kupigana vijembe,angalao waige hata mfano wa Agery Mwandri ambaye now days anajitatahidi sana kuongelea facts na si majungu na umbea.NI LINI MWISHO WA UJINGA WA VIONGOZI WA TZ?
Naomba tuongelee maslai ya nchi yetu na tuache uchama kwani ndio unawamaliza viongozi wetu na cc wananchi,kwani tunabaki kushindania vyama badala ya kumpiga hadui UJINGA,MARADHI NA UMASIKINI.
 
Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu, leo amemwaga cheche bungeni kwa kuiwakia serikali kuhusu vurugu za wamachinga Mbeya hivyo kutaka tume huru iundwe ili kuchunguza kadhia hiyo.

Mhe. Mbilinyi ametoa cheche hizo bungeni mjini Dodoma wakati wa kujadili Tanzania kuridhia mkataba wa kimataifa wa haki za vijana wa Afrika.

kufuatia vurugu hizo, Sugu amesema mgambo walishindwa, polisi walishindwa, FFU walishindwa na jeshi pia lilishindwa, lakini wakazi wa Mbeya ndio wanaomjua ni nani alituliza vurugu zile!.

Sugu alisema kwa hasira kuwa kijana msukuma guta John Bosco aliuwawa kwa risasi huku diwani wa CCM akidai yeye ni nesi na siku hiyo alijuwa zamu, hakuna mtu yoyote aliyeumia wala kufariki!. Ametoa RIP kwa kijana huyo na kuomba matokeo ya tume tume yasisitize fidia kwa wahanga wa vurugu hizo!.

Sugu ameitaka serikali kutowanyanyasa tena machinga bali waachiwe kufanya shughuli zao kwa uhuru kama alivyofanya Satta wa Zambia mpaka hapo serikali itakapo wapatia utaratibu maalum.
Mayalla yeye tujiulize yeye kayajuaje Mambo ya Chadema wakati sio mwana Chadema kumbuka anayoyajua ndani ya Chadema hua ni Yale mabaya tuu hajawahi ona mazuri hata siku Moja
Vipi hapa?.
P
 
Back
Top Bottom