+255
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 1,940
- 762
Craaaap
Craaap kwa ulivyonielewa, na sio lazima ni support nisichokiamini
Craaaap
oiiii! hadi wewe usikie sio?
Itabidi kwanza uache kazi ya serikali.BTW nilidhani wewe mchungaji!lolMazingaombwe haya! Vazi la taifa kwa wavaa mitumba wapi na wapi?
Vazi la taifa tenda ya kushona atapewa fisadi Fulani na tenda ya kusambaza fisadi mwingine, Halafu itatolewa amri Kila siku ofisi za serikali kuvaa vazi la taifa. Ni ufisadi tu sintovaaa Hilo vazi
Itabidi kwanza uache kazi ya serikali.BTW nilidhani wewe mchungaji!lol
Hii status ya Rev nakumbuka ulipoanza kuitumia, i remember you was once upon a time just "Masanilo".
Itabidi kwanza uache kazi ya serikali.BTW nilidhani wewe mchungaji!lol
Hii status ya Rev nakumbuka ulipoanza kuitumia, i remember you was once upon a time just "Masanilo".
Sheria anazozipigania zipo chini ya halmashauri ya manispaa/jiji la mbeya...Sikuwahi kumuona Sugu akitema cheche kiasi kile, na kwa Cheche zile ameonesha wazi kwamba ana uchungu na wakazi wa mbeya wenye vipato vidogo hasa wafanyabiashara ndogondogo. Ningekuwa mkazi wa Mbeya.....ni kuendelea kumpa kura tu kila anapozihitaji.
CHADEMA wote majembe
Slang ya mamtoni hiyo babuu!!.....Poor Tanzanians, Kiingereza hatujui, kiswahili hatukitaki, lol!
Hata Rose Kamili?
Poor Tanzanians, Kiingereza hatujui, kiswahili hatukitaki, lol!
CHADEMA wote majembe
mkuu kama unakumbuka kuwa kuna kipindi madiwani wa chadema walitoka kweye ukumbi wa mikutono yao kikao kilipo kuwa kinaendelea issue ilikuwa ni hii hiiSheria anazozipigania zipo chini ya halmashauri ya manispaa/jiji la mbeya...
Kama alikuwa anahudhuria vikao, kwanini asingepinga hizo sheria?
Mambo mengine huwa hayaamuliwi na bunge, bali Local Government Authorities.
In short, that was Dung!
Nchimbi anautaka urais! je akiupata huo urais Sugu atakimbilia wapi?