lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #81
kipi nilichoandika kibaya? Utaje huo ubaya na unihukumu kama upo,ila ukwel siku zote haaumi kuliko uongo?kama umeandaa matus sina la kukurudishia.ila taja kosa katika hiyo reply yangu
Kosa lako ni kuacha kujadili MADA KUU na kuanza kuget personal na kunijadili mimi mtoa comment!!! Mind you you DONT KNOW ME!!! Why the perceptions!!!!