Las Mas Bobos
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 991
- 326
Wewe unacho ongelea ni uzinzi, na kuoa mke mmoja haiwezi manisha mke wako haendi nje ya ndoa.
Afu wewe umeona warabu tu ndo wanao toka nje ya ndoa, hujaona wafrika wangapi wake za watu wanaliwa nje ya ndoa.
FYI tena wafrika ndo hatari wanagawa K kama pipi, na wengi wao wamezaa mashombe shombe :biggrin:
Acha akili za kukurupuka wewe, mimi sijasema waarabu wanatoka nje ya ndoa, nimesema wenzako waarabu wanaoa wake wengi lkn wanawafungia ndani ili wasibanguliwe. Kwa kifupi wale sio wake ila ni watumwa wa ngono. Maisha ya ndoa ni kuridhishana na sio mwanaume kuridhika na mwanamke abakie na hamu wkt mume yuko banda la pili.
Ni uduni tu wa mawazo, lkn mke mmoja anatosha. Na ni vile huwa hamnaga kazi, kazi yenu ndio hiyo, na ndio siri ya kuwa na watoto weeengi mkashindwa kuwasomesha halafu muanze kumtukana Nyerere na kanisa katoliki