Yawezekana uko sahihi lakini si sana kwa mtazamo wangu!
Unaanza na mmoja, halafu ili kumfanya wa pili kuwa mke halali unapitia katika mchakato ule ule wa kwenda nje ya ndoa kwanza, na kumfanya mwingine awe mke wa tatu, ......, unapitia tena mchakato wa kwenda nje ya ndoa zile mbili au tatu za awali, au iwa inakuwaje??
QUOTE=fazaa;4760527]Mwanaume yoyote ambaya ataishia kuwa na mke mmoja, lazima ataenda nje ya ndoa tu...ndo mana tumeruhusiwa kuoa wake wanne :biggrin:[/QUOTE]
Unaanza na mmoja, halafu ili kumfanya wa pili kuwa mke halali unapitia katika mchakato ule ule wa kwenda nje ya ndoa kwanza, na kumfanya mwingine awe mke wa tatu, ......, unapitia tena mchakato wa kwenda nje ya ndoa zile mbili au tatu za awali, au iwa inakuwaje??
QUOTE=fazaa;4760527]Mwanaume yoyote ambaya ataishia kuwa na mke mmoja, lazima ataenda nje ya ndoa tu...ndo mana tumeruhusiwa kuoa wake wanne :biggrin:[/QUOTE]