Zitto
Former MP Kigoma Urban
- Mar 2, 2007
- 1,562
- 10,880
Zitto sijakuelewa hapa, labda umeeleza kwenye post zingine. Ninavyoelewa ni kuwa kama Mswadaumekataliwa kuasiniwa na Rais utarudihwa tena bungeni kujadiliwa na kufanyiwa marekebisho, na kama wabunge wa tabaki na msimamo wao ule ule wa kutokuubadirisha mswaada wakaupeleka tena kwa rais kusianiwa ili iwe sheria na rais akaukataa kama itatokea Rais akaukataa mswaada mara mbili basi hakuna mjadala either of the two inatakiwa vitokee, Rais ajiuzuru na serikali yake, au Bunge kuvunjwa na uchaguzi mkuu kufanywa.
Kwa hiyo kusema kuwa Rais akikataa mswada then Bunge halina namna nadhani sio sahihi, labda kama sijakuelewa.
Upo sahihi na mwanakijiji amefafanua pia hivyo hivyo. Mantiki yangu ni kuwa muswada hautakuwa sheria iwapo Rais akikataa kusaini. Uganda na nchi nyingine zenye mfumo kama wetu, Rais akikataa anaurudisha Bungeni na sababu za kukataa, na Bunge likiendelea na msimamo wake na wakapiga kura ya theluthi mbili muswada ule unakuwa sheria. Tanzania hapana - Bunge linavunjwa! Ndio mantiki yangu hiyo