johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,012
- 142,046
Nimemsoma Spika Dr Tulia PhD Kule X akisema Spika Sitta alikuwa wa Kasi na Viwango hivyo ndiye Spika bora lakini kumlinganisha na yeye iwe pale atakapomaliza muhula wake wa Uspika
Nakubaliana Kabisa na Spika Dkt. Tulia PhD tena kwa asilimia zote
Ila namkumbusha tu mzee Msekwa, Sitta rip, mama Makinda na Mzee Ndugai wakiongozwa mabunge ya Vyama vingi tofauti na Bunge la sasa ambalo kimsingi ni Bunge la Chama kimoja
Ni hilo tu 😀
Mungu wa mbinguni mbariki Spika Dr Tulia PhD
Nakubaliana Kabisa na Spika Dkt. Tulia PhD tena kwa asilimia zote
Ila namkumbusha tu mzee Msekwa, Sitta rip, mama Makinda na Mzee Ndugai wakiongozwa mabunge ya Vyama vingi tofauti na Bunge la sasa ambalo kimsingi ni Bunge la Chama kimoja
Ni hilo tu 😀
Mungu wa mbinguni mbariki Spika Dr Tulia PhD