The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Hivi Sheria ya madini na kanuni zake zinasemaje kuhusu usimamizi wa mazingira? sheria ya mwaka 1998.
Check on this link http://www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/5-1998.pdf
Hivi Sheria ya madini na kanuni zake zinasemaje kuhusu usimamizi wa mazingira? sheria ya mwaka 1998.
si unjua viongozi wengi wa ccm vyeti vya kugushi, naona sitta akadhani cheyo nae amegushi
yaani spika inamaanisha hajawi kuona hata kwenye magazeti kwamba kuna madawa ambayo yantupwa kwenye mito na kuleta madhara
hiyo acid ikishaingia kwenye maji(river) makali yake yanabadilika, yeye anasema acid inakuumiza hapo hapo kwani ameambiwa ni ya kumwagiwa dry...
mtu akikumwagia acid moja kwa moja kavu ndio inakuumiza hapohapo lakini ikishaingia kwenye river inakuumiza pole pole ( hii nimejua kwa kusoma magazeti/habari hauitaji kuwa chemist kujua hili, je spika ni mbumbu kiasi hicho au ubabe tuu).
Tanzania bila ufisadi yawezekana, play your part.
Mimi ni mgeni kwenye JF ndo mara yangu ya kwanza kucomment.
Ni mimi tu au kiburi cha wabunge wa CCM kinazidi? Maana kaanza Pinda na kauli zisizo eleweka na sasa ni huyu spika. The only way to bring these people down to earth is through the ballot box. I think loosing their seats next year will humble them.
nadhani ndio ameamua kutonyesha standards and speed kwa aina yakeHuyu spika anajishushia hadhi kwani tulikuwa tunamwona ni mtenda haki lakini siamini udicteta aliouonesha kwa Cheyo.
Unafikiri kwa nini wengine huwa tunadai rekodi za yaliyotamkwa neno kwa neno?
Watu wanaweza kutumia kurasa mia wanajadili na kulaani utata wa kauli huku hakuna mwenye rekodi ya kilichosemwa. Eti mmoja kamuuliza mwenzake "wewe ni chemistry," Cheyo akajajibu yeye kasomea "Textile Chemistry," Sitta akamwambia umesahau chemistry, nyamaza, Cheyo akaendelea kuuliza, akaambiwa kaa chini, wao wapinzani ni madikteta, "sajenti mtoeni nje"! Mazungumzo ya nusu dakika wakafukuzani bungeni!
Wajameni, kwani spika kasomea nini?
Ama! sasa Spika ana makosa au hana?Mimi ni mgeni kwenye JF ndo mara yangu ya kwanza kucomment.
Kwa upande wangu Spika hana makosa kama wengi walivyochangia
Jana kile kipindi nilikiona live jioni; Wote wawili yaani Mh. Cheyo na Spika wote wanamakosa.
Mimi ni mgeni kwenye JF ndo mara yangu ya kwanza kucomment.
Kwa upande wangu Spika hana makosa kama wengi walivyochangia
Jana kile kipindi nilikiona live jioni; Wote wawili yaani Mh. Cheyo na Spika wote wanamakosa. Cheyo alishakalishwa chini na Spika tiyari hiyo ni sheria ya bunge hapaswi kuhoji tena hata iweje lazima uheshimu Kiti jamani lile ni bunge tofauti na kumbi nyingine unaweza kufanya chochote!! Na Spika anamakosa kwani hakuelewa swali akauliza lirudiwe Cheyo akaanza kuelezea kusudi amueleweshe Spika akajitahidi kutokuelewa hata kabla Cheyo hajamaliza akamjibu yeye badala ya Mh. Buliani ambaye ni waziri, ikaonekana Spika alikuwa anamkingia kifua Burian asiulizwe swali. Kwa hiyo wote wawili wanamakosa.