Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
Siamini kuwa Spika aliuliza kama jamaa ni CHEMISTRY! Anasingiziwa.
Amandla......
si unjua viongozi wengi wa ccm vyeti vya kugushi, naona sitta akadhani cheyo nae amegushi
yaani spika inamaanisha hajawi kuona hata kwenye magazeti kwamba kuna madawa ambayo yantupwa kwenye mito na kuleta madhara
hiyo acid ikishaingia kwenye maji(river) makali yake yanabadilika, yeye anasema acid inakuumiza hapo hapo kwani ameambiwa ni ya kumwagiwa dry...
mtu akikumwagia acid moja kwa moja kavu ndio inakuumiza hapohapo lakini ikishaingia kwenye river inakuumiza pole pole ( hii nimejua kwa kusoma magazeti/habari hauitaji kuwa chemist kujua hili, je spika ni mbumbu kiasi hicho au ubabe tuu).