Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Jamani ilikuwa hivi;
Cheyo ameuliza swali kwenye kamati za kupitia mahesabu ya wizara ya mazingira. Alipouliza Sita hakuelewa ikabidi amuulize tena. wakati anauliza Sita akaingilia kuwa je wewe ni chemisty? jamaa akamwambia. baada ya kuuliza sita akamwambia hayo yalishasemwa na waziri.
cheyo akasema ndo umejibu? sita akasema ameshatolea maelezo sio majibu. cheyo akasema hajaridhika.
Sitta kamwaga radhi eti wapinzani wanapenda sana kila kitu wadikteti tu maana waklishasema lazima wasikilizwe tuu. akasema eti cheyo akishakalia kiti basi huku UDP hakuna mtu kuzungumza. Sita akasema eti cheyo anasema chemical haiunguzi mara moja. cheyo uvumilivu ukamshinda. basi akasimama, sita akamwambia kaa chini yaani kama polisi. nakwambia kaa chini. cheyo akaamua kuondoka na sita akasema sajini mtoeni nje. akatoka nje.
Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo akitoka nje ya ukumbi wa Bunjge Mjini Dodoma Juni 29, 2009 baada ya kuamriwa kufanya hivyo na Spika wa Bunge Samwel Sitta kwenye kikao cha jioni. (Picha kwa hisani ya Ofisi ya Waziri Mkuu)
Cheyo ameuliza swali kwenye kamati za kupitia mahesabu ya wizara ya mazingira. Alipouliza Sita hakuelewa ikabidi amuulize tena. wakati anauliza Sita akaingilia kuwa je wewe ni chemisty? jamaa akamwambia. baada ya kuuliza sita akamwambia hayo yalishasemwa na waziri.
cheyo akasema ndo umejibu? sita akasema ameshatolea maelezo sio majibu. cheyo akasema hajaridhika.
Sitta kamwaga radhi eti wapinzani wanapenda sana kila kitu wadikteti tu maana waklishasema lazima wasikilizwe tuu. akasema eti cheyo akishakalia kiti basi huku UDP hakuna mtu kuzungumza. Sita akasema eti cheyo anasema chemical haiunguzi mara moja. cheyo uvumilivu ukamshinda. basi akasimama, sita akamwambia kaa chini yaani kama polisi. nakwambia kaa chini. cheyo akaamua kuondoka na sita akasema sajini mtoeni nje. akatoka nje.
Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo akitoka nje ya ukumbi wa Bunjge Mjini Dodoma Juni 29, 2009 baada ya kuamriwa kufanya hivyo na Spika wa Bunge Samwel Sitta kwenye kikao cha jioni. (Picha kwa hisani ya Ofisi ya Waziri Mkuu)
Last edited by a moderator: