Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
Jamani tumeongoza ligi toka
mechi ya kwanza hadi sasa mechi ya kumi tunaongoza, jueni kwamba
kuongoza ligi sio kazi rahisi hadi uwe unajua, sio kusubiri mabeki
wafunge magoli ya faulo na washambuliaji wafunge magoli ya penati halafu
unataka uongoze ligi, subiri kidogo jamani sasa ni wakati wetu kujidai
hapo juu, huku kwingine mtakuwa mnabadilishana, chezeya mnyama wewe
utalala hoi!!!
Umeona eeh! Yebo yebo ndio amefikia peak hapo asubiri kurudi wa3 na kushuka chini,akikaza sana atabaki hapo 2.