Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Tumia akili angalauu kidogo hivi kati ya Simba na Azam Fc ipi timu ya kawaida sana kuliko nyenzake mfano Azam FC ilicheza na SIMBA B tukawafunga sasa leo kufungwa na timu ya wakubwa mnalilia lia nini kama yanga tuna wafunga goli tano wana singizia mgogoro sasa subiri mzunguko wa piri timu wepo kamili na msifanye mipango kama mlivyofanya raound ya kwanza muone kama hamtachezea mkono mafala nyie..kazi kuia lia tuo simba ya kawaida yakawada wakati inaongoza lingi na ndiyo bingwa mtetezi huku azam akiwa amekula tatu na yanga 6 -1...Jana Azam wamezingua sanaaaa. Simba ni timu ya kawaida, Tatizo wachezaji wa AZAM walikua hawachezi mpira wa kazi. walileta Mahaba uwanjani. Kwa mpira ule hata yanga wanaweza wakatufunga Mechi ya jmos. Yule HUMUD alikua anarukaruka tu uwanjani nashangaa kocha alivyomwacha dk 90 zote. Azam tunawapenda but wapunguze Upemba.